Zaidi 28 wauwawa na wanamgambo Kenya
Polisi nchini Kenya wanasema kuwa wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi moja karibu na mpaka wa Somalia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Polisi wauwawa Turkana, Kenya
Polisi wauwawa na kutoweka kaskazini mwa Kenya wakati wa operesheni za usalama
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Watu 20 wauwawa Wajir, Kenya
Kaskazini-mashariki mwa Kenya koo mbili zapambana na watu wengi wauwawa katika ugomvi kuhusu mpaka
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Wanaume watano wauwawa Moyale, Kenya
Wanaume watano wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Al-Shabaab wapigwa risasi na kuuwawa nchini Kenya karibu na mpaka wa Ethiopia
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Mashambulizi zaidi Pwani ya Kenya
Watu wasiojulikana wameteketeza nyumba saba katika eneo la kuhifadhi wanyama mjini Lamu , ingawa hakuna vifo vimeripotiwa
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Shambulizi lililotikisa Kenya zaidi
Jengo lenye maduka kadha ya biashara la WestGate lililojaa wateja lilishambuliwa na magaidi watu wakiwa katika starehe za wikendi.
10 years ago
Vijimambo21 Dec
POLISI WAWILI WAUWAWA NEW YORK
![](http://si.wsj.net/public/resources/images/BN-GC681_2nycop_P_20141220182150.jpg)
![](https://tribktla.files.wordpress.com/2014/07/452855164.jpg)
Polisi wawili wameuwawa mjini Brooklyn New Yrk na mtu ambaye inasemekana amesafiri toka Baltimore Maryland kwa kukusudia kufanya mauaji hayo na baadae kujipiga risasi baada ya kuzingirwa na polisi ndani ya kituo cha treni.
Polisi wawili waliouwawa Wenjan Liu na Rafael Ramos waliuwawa siku ya jumamosi mchana Desemba 20, 2014 wakiwa ndani ya gari lao wakiwa wameegesha mjini...
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Washambuliaji wauwawa magharibi Uganda
Washambuliaji wengi waliohujumu maeneo ya jeshi magharibi mwa Uganda wameuwawa
11 years ago
BBCSwahili06 May
Pombe haramu yawaua zaidi ya 50 Kenya
Watu zaidi ya hamsini wamefriki baada ya kunywa pombe haramu katika maeneo mbali mbali nchini Kenya
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Muuguzi aliyeibuka bora zaidi Kenya
Bi Anab Mohamed ni muuguzi ambaye amekuwa akiwahudumia wagonjwa eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya kwa miaka 27 na alituzwa kama muuguzi bora nchini kenya mwaka 2010.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania