Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi 28 wauwawa na wanamgambo Kenya

Polisi nchini Kenya wanasema kuwa wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi moja karibu na mpaka wa Somalia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wauwawa Turkana, Kenya

Polisi wauwawa na kutoweka kaskazini mwa Kenya wakati wa operesheni za usalama

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wauwawa Wajir, Kenya

Kaskazini-mashariki mwa Kenya koo mbili zapambana na watu wengi wauwawa katika ugomvi kuhusu mpaka

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume watano wauwawa Moyale, Kenya

Wanaume watano wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Al-Shabaab wapigwa risasi na kuuwawa nchini Kenya karibu na mpaka wa Ethiopia

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi zaidi Pwani ya Kenya

Watu wasiojulikana wameteketeza nyumba saba katika eneo la kuhifadhi wanyama mjini Lamu , ingawa hakuna vifo vimeripotiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lililotikisa Kenya zaidi

Jengo lenye maduka kadha ya biashara la WestGate lililojaa wateja lilishambuliwa na magaidi watu wakiwa katika starehe za wikendi.

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WAWILI WAUWAWA NEW YORK

Gari la polisi waliokuwemo polisi wawili waliouwawa mapema leo Brooklyn New York.Polisi wa New York wakiwa eneo la tukio.
Polisi wawili wameuwawa mjini Brooklyn New Yrk na mtu ambaye inasemekana amesafiri toka Baltimore Maryland kwa kukusudia kufanya mauaji hayo na baadae kujipiga risasi baada ya kuzingirwa na polisi ndani ya kituo cha treni.
Polisi wawili waliouwawa Wenjan Liu na Rafael Ramos waliuwawa siku ya jumamosi mchana Desemba 20, 2014 wakiwa ndani ya gari lao wakiwa wameegesha mjini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliaji wauwawa magharibi Uganda

Washambuliaji wengi waliohujumu maeneo ya jeshi magharibi mwa Uganda wameuwawa

 

11 years ago

BBCSwahili

Pombe haramu yawaua zaidi ya 50 Kenya

Watu zaidi ya hamsini wamefriki baada ya kunywa pombe haramu katika maeneo mbali mbali nchini Kenya

 

9 years ago

BBCSwahili

Muuguzi aliyeibuka bora zaidi Kenya

Bi Anab Mohamed ni muuguzi ambaye amekuwa akiwahudumia wagonjwa eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya kwa miaka 27 na alituzwa kama muuguzi bora nchini kenya mwaka 2010.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani