Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi zaidi Pwani ya Kenya

Watu wasiojulikana wameteketeza nyumba saba katika eneo la kuhifadhi wanyama mjini Lamu , ingawa hakuna vifo vimeripotiwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi zaidi yafanyika Yemen

Vikosi vinavyoongozwa na Saudi Arabia vimeendesha mashambulizi nchini Yemen vikilenga nyumba ya rais wa zamani .

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yafanya mashambulizi zaidi Gaza

Israel imefanya mashambulizi zaidi katika ukanda wa Gaza kufuatia shambulizi la makombora yaliyofanywa na kundi la Hamas Jumatatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yafanya mashambulizi zaidi Syria

Ndege za Urusi zimefanya mashambulio zaidi nchini Syria.

 

5 years ago

Ykileo

KUELEKEA MWISHO WA MWAKA TUNATEGEMEA MASHAMBULIZI MTANDAO ZAIDI

Nikizungumza na kundi maalum katika vikao vinavyoendelea nimewasilisha ujumbe wa Tahadhari ambapo Uma umetahadharishwa juu ya mashambulizi takriban Milioni hamsini (50 Milioni) duniani kote katika kipindi cha sikukuu yatakayo gharimu kati ya Dola 50 – Dola 5’000 kwa kila shambulizi.


Matarajio hayo ni kutokana na matumizi makubwa ya mtandao katika kufanya miamala mbali mbali ya manunuzi ya bidhaa katika kipindi hiki cha sikukuu ambapo watu wengi duniani kote wamekua wakinunua vitu mbali mbali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Njama ya mashambulizi yatibuliwa Kenya

Polisi mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewakamata watu wawili waliokuwa na mabom ndani ya gari lao

 

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

11 years ago

Habarileo

Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya

WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utalii wazorota Pwani ya Kenya

Sekta ya Utalii kujikimu kimaisha

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lafanyika pwani ya kenya

Kuna Ripoti ya mashambulizi matatu katika maeneo ya pwani ya kenya karibu na mpaka wa kenya na Somali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani