Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi zaidi yafanyika Yemen

Vikosi vinavyoongozwa na Saudi Arabia vimeendesha mashambulizi nchini Yemen vikilenga nyumba ya rais wa zamani .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yapamba moto Yemen

Ripoti kutoka nchini Yemen zinasema kuwa muungano unaongozwa na Saudi Arabia umefanya mashambuliz kwenye mji mkuu wa nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yaanza tena Yemen

Muungano unaongozwa na Saudi Arabia umerejelea tena mashambulizi ya angani dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Yemen yawapa tuzo marubani

Mwana wa mfalme nchini Saudi Arabia afurahishwa na mashambulizi ya Yemen,atoa zawadi nono kwa marubani wa ndege za kivita .

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi zaidi Pwani ya Kenya

Watu wasiojulikana wameteketeza nyumba saba katika eneo la kuhifadhi wanyama mjini Lamu , ingawa hakuna vifo vimeripotiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yafanya mashambulizi zaidi Gaza

Israel imefanya mashambulizi zaidi katika ukanda wa Gaza kufuatia shambulizi la makombora yaliyofanywa na kundi la Hamas Jumatatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yafanya mashambulizi zaidi Syria

Ndege za Urusi zimefanya mashambulio zaidi nchini Syria.

 

5 years ago

Ykileo

KUELEKEA MWISHO WA MWAKA TUNATEGEMEA MASHAMBULIZI MTANDAO ZAIDI

Nikizungumza na kundi maalum katika vikao vinavyoendelea nimewasilisha ujumbe wa Tahadhari ambapo Uma umetahadharishwa juu ya mashambulizi takriban Milioni hamsini (50 Milioni) duniani kote katika kipindi cha sikukuu yatakayo gharimu kati ya Dola 50 – Dola 5’000 kwa kila shambulizi.


Matarajio hayo ni kutokana na matumizi makubwa ya mtandao katika kufanya miamala mbali mbali ya manunuzi ya bidhaa katika kipindi hiki cha sikukuu ambapo watu wengi duniani kote wamekua wakinunua vitu mbali mbali...

 

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Houthi wateka maeneo zaidi Yemen

Maafisa wa usalama nchini Yemen wanasema waasi wa kundi la Houthi wameshikilia maeneo kadhaa ya mji wa tatu kwa ukubwa wa Taiz

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani