Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi ya Yemen yawapa tuzo marubani

Mwana wa mfalme nchini Saudi Arabia afurahishwa na mashambulizi ya Yemen,atoa zawadi nono kwa marubani wa ndege za kivita .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yaanza tena Yemen

Muungano unaongozwa na Saudi Arabia umerejelea tena mashambulizi ya angani dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi zaidi yafanyika Yemen

Vikosi vinavyoongozwa na Saudi Arabia vimeendesha mashambulizi nchini Yemen vikilenga nyumba ya rais wa zamani .

 

9 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yapamba moto Yemen

Ripoti kutoka nchini Yemen zinasema kuwa muungano unaongozwa na Saudi Arabia umefanya mashambuliz kwenye mji mkuu wa nchi hiyo

 

11 years ago

Tanzania Daima

OGP yawapa tuzo wananchi 37

SHIRIKA la Twaweza kupitia mpango wa kuendesha shughuli za serikali kwa uwazi (OGP), limetoa tuzo za kompyuta mpakato na taa zinazotumia nishati ya jua kwa wananchi 37 waliotoa mawazo yao...

 

10 years ago

Michuzi

PPF YAWAPA TUZO WAFANYAKAZI WAKE BORA WA MWAKA 2014

Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Martin Mmari, (kushoto), akimkabidhi cheti Mfanyakazi bora wa Mfuko huo kutoka kanda ya Ziwa, Bernard Kyaduma, wakati wa hafla ya kuwapatia tuzo wafanyakazi bora wa Mfuko huo mwaka 2014.Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Julius Kam Mganga, (wapili kushoto), akitunuku cheti Mfanyakazi bora wa jumla wa Mfuko huo kwa mwaka 2014, Angelina Napacho kutoka kurugenzi ya Operesheni ya Mfuko huo, wakati wa hafla ya kuwatunuku wafanyakazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCAA yaajiri wakaguzi wa marubani

KATIKA kukabiliana na uhaba wa wakaguzi wa marubani wa ndege, Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeajiri wataalamu watatu wa kada hiyo kwa mwaka 2013. Akizungumza na Tanzania Daima juzi,...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kutatua matatizo ya marubani

SERIKALI imesema imejipanga kuhakikisha inatatua matatizo yanayowakabili marubani wa kitanzania ikiwa ni pamoja na upendeleo wa ajira kwa marubani wa kigeni na uwazi katika mitihani ya marubani.

 

11 years ago

Habarileo

Kuna uhaba wa wakaguzi wa marubani

KADA ya ukaguzi wa marubani wa ndege inakabiliwa na upungufu wa watumishi 12, jambo ambalo linaathiri ufanisi katika eneo hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marubani wa India wazikunja kisa?

Marubani wa shirika la ndege la India watwangana,mmoja alimpa majukumu msaidizi wake, msaidizi akamuwakia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani