Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marubani wa India wazikunja kisa?

Marubani wa shirika la ndege la India watwangana,mmoja alimpa majukumu msaidizi wake, msaidizi akamuwakia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kuna uhaba wa wakaguzi wa marubani

KADA ya ukaguzi wa marubani wa ndege inakabiliwa na upungufu wa watumishi 12, jambo ambalo linaathiri ufanisi katika eneo hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCAA yaajiri wakaguzi wa marubani

KATIKA kukabiliana na uhaba wa wakaguzi wa marubani wa ndege, Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeajiri wataalamu watatu wa kada hiyo kwa mwaka 2013. Akizungumza na Tanzania Daima juzi,...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kutatua matatizo ya marubani

SERIKALI imesema imejipanga kuhakikisha inatatua matatizo yanayowakabili marubani wa kitanzania ikiwa ni pamoja na upendeleo wa ajira kwa marubani wa kigeni na uwazi katika mitihani ya marubani.

 

9 years ago

Mwananchi

Ndege ya JWTZ yaanguka, marubani wapotea

Askari wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wamepotea katika Bahari ya Hindi baada ya ndege waliyokuwa wakiitumia kwa mafunzo kuanguka jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manongi akishauri Chama cha Marubani

CHAMA cha Marubani nchini kimeshauriwa kujikita kwenye misingi  ya uanzishwaji wake badala ya kufanya kazi za wanaharakati. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Yemen yawapa tuzo marubani

Mwana wa mfalme nchini Saudi Arabia afurahishwa na mashambulizi ya Yemen,atoa zawadi nono kwa marubani wa ndege za kivita .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marubani wazawa na kilio cha ajira

p>KILIO cha ukosefu wa ajira kimezidi kushamiri nchini, kwani wataalamu wa fani mbalimbali wamekuwa wakipaza sauti juu ya kukosekana kwa ajira. Baadhi ya wataalamu katika sekta mbalimbali wamekuwa wakilalamikia kutengwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCAA yatamanisha wengi kuwa marubani

USAFIRI wa anga ni miongoni mwa sekta muhimu kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi yoyote duniani. Kwa kuliona hilo, Serikali ya Tanzania ilianzisha Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Ndege JWTZ yaangukia baharini, marubani wapotea

MARUBANI wawili wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wanahofiwa kufa maji baada ya ndege yao ya mazoezi, kuangukia katika mwambao wa Bahari ya Hindi eneo la Visiwa vya Mbudya, Kaskazini Mashariki mwa Jiji la Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani