Ndege JWTZ yaangukia baharini, marubani wapotea
MARUBANI wawili wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wanahofiwa kufa maji baada ya ndege yao ya mazoezi, kuangukia katika mwambao wa Bahari ya Hindi eneo la Visiwa vya Mbudya, Kaskazini Mashariki mwa Jiji la Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Ndege ya JWTZ yaanguka, marubani wapotea
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Ndege ya JWTZ yaanguka baharini
Na Aziaza Masoud, DAR ES SALAAM
MARUBANI wawili wa kikosi cha jeshi la anga wamefariki baada ya ndege ya mafunzo ya Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kupata hitilafu na kuanguka eneo la Silversands Msasani katika kisiwa cha Mbudya, Dar es Salaam.
Taarifa za kuanguka kwa ndege hiyo zilianza kusambaa kupitia mitandao ya jamii jana asubuhi zikieleza kuwa wavuvi walikuwa wa kwanza kutambua ajali hiyo baada ya kuona kofia ngumu.
Akizungumza na Mtanzania Dar es Salaam jana, Mkurugenzi...
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Ndege ya Taiwan yaangukia mtoni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPT0LtzubKPkBxvo8cEc7aYdtHN3*oeLrVpnaJyT9FH89nTAaewESv-vdV*3WggyQj4pvpLv8KyDLY9FEJvDoL7/1.jpg)
NDEGE YA TAIWAN YAANGUKIA MTONI NA KUUA WATU 12
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Malaysia:Ndege ilianguka baharini
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mabaki kama ya ndege yaonekana baharini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJhIZnZGANP4SCl62Z8NbRKbbPnvZZnsIpwCCMlvhE*0gjv8Sb61s6NQek9JNCaq9Yi5cqpZcsQBR7LpVsmmStV/article25897231C93936900000578875_634x580.jpg?width=650)
PICHA ZAONYESHA MABAKI YA NDEGE ILIYOPOTEA BAHARINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1-zViTrULHE8q5l47EoSjekFNwU-adiLJnv9nox1W0EVET06cMLzVeif1FgTnjmxBiteM2EOtUNWtoULAYyen8f/1.jpg)
NDEGE INAYOHOFIWA KUZAMA BAHARINI, HALI BADO TETE
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Ndege ya JWTZ yaanguka Mwanza
Na Mwandishi Wetu,
NDEGE ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imeanguka jana katika eneo la Uwanja wa Ndege wa Kijeshi wa Mwanza wakati ikifanya mazoezi.
Akitoa taarifa za kuanguka kwa ndege hiyo katika Makao Makuu ya jeshi hilo yaliyopo Dar es Salaam jana, Msemaji wa JWTZ, Joseph Masanja, alisema ndege za kivita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida na wakati rubani wake, Meja Peter Lyamunda, akijiandaa kuruka, ndipo ndege mnyama akaingia katika moja ya injini na...