Mabaki kama ya ndege yaonekana baharini
Uchina imechapisha picha zilizonaswa na mtambo wake wa satelite zikionyesha mabaki ya kitu kipana kikielea katika bahari ya South China
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hEXB8hVnt0Oy-VGBugFFP4q2S*uTOJA5gK8O*04nCy*HXt0uvO3-mq-5tV7ZY-NrDwxd2ty*9nfGn2gbJdVxTp/article25848161C6F4B8400000578325_634x423.jpg?width=650)
MABAKI YA NDEGE YAONEKANA AUSTRALIA
Msemaji wa masuala ya usalama wa safari za ndege Australia, John Young, akiongea na waandishi wa habari. Mabaki ya ndege pichani ambayo kimoja kina ukubwa wa mita 24, yameonekana umbali wa kilomita 2500 kusini Magharibi mwa pwani ya Australia. Waziri mkuu wa Australia amesema kuwa mitambo ya satelite ya…
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mabaki ya ndege Algeria yaonekana
Mabaki ya ndege iliyopotea ikiwa na watu 116 njiani kutoka Burkanafaso kwenda Algers yamepatikana nchini Mali.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJhIZnZGANP4SCl62Z8NbRKbbPnvZZnsIpwCCMlvhE*0gjv8Sb61s6NQek9JNCaq9Yi5cqpZcsQBR7LpVsmmStV/article25897231C93936900000578875_634x580.jpg?width=650)
PICHA ZAONYESHA MABAKI YA NDEGE ILIYOPOTEA BAHARINI
Picha ya Satelite ikionyesha kinachodhaniwa kuwa mabaki ya MH370. Waziri wa Ulinzi wa Malaysia ambaye pia ni Kaimu waziri wa Usafirishaji, Hishammuddin Hussein akionyesha picha zinazodaiwa kuwa mabaki ya ndege iliyopotea.…
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
MH370:'Picha zaonyesha mabaki baharini'
Malaysia imesema kuwa picha mpya za Satelite zimeonyesha vitu 122 baharini vinavyodhaniwa kuwa mabaki ya ndege yake iliyotoweka zaidi ya wiki mbili zilizopita.
11 years ago
BBCSwahili08 Mar
Mafuta yaonekana ya ndege iliyotoweka
Michirizi ya mafuta yaonekana huku msako waendelea kutafuta ndege ya Malaysia iliyotoweka ikiwa imebeba watu 239
10 years ago
Vijimambo30 Jul
MABAKI YA NDEGE YANAYOSEMEKANA NI YA NDEGE YA MALAYSIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/07/150307074359_mh370_512x288_non_nocredit.jpg)
Mamlaka ya usafirishaji nchini Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege ya yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi yanachunguzwa ili kubaini kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370 iliyopotea bila kuwa na taarifa zozote kwa muda mrefusasa.
Taarifa kutoka Marekani zinasema wachunguzihao ambao wameona picha za mabaki hayo wana uhakika mkubwa kwamba ni ya ndege hiyo ya Malaysia ambapo mabaki hayo ni sehemu ya bawa la ndege.
Hata hivyo,...
11 years ago
BBCSwahili22 Mar
Picha ya 'mabaki ya ndege' iliyopotea
Kuna taarifa kuwa China imeanza kuchunguza picha mpya ya kitu kama mabaki ya ndege ya Malaysia iliyopotea.
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Haya ni mabaki ya ndege ya Malaysia?
Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ufaransa kuchunguza mabaki ya ndege
Mtu anayedaiwa kubaini ushahidi wa kwanza wa mabaki ya Ndege ya Malysia iliyopotea ameelezea mazingira ya yalipopatikana
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania