Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafuta yaonekana ya ndege iliyotoweka

Michirizi ya mafuta yaonekana huku msako waendelea kutafuta ndege ya Malaysia iliyotoweka ikiwa imebeba watu 239

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Malasia iliyotoweka haijapatikana

Shughuli ya kutafuta ndege ya Malaysia iliyotoweka siku ya Jumamosi inaendelea huku sehemu kadhaa za ndege zikionekana baharini

 

11 years ago

BBCSwahili

Mabaki ya ndege Algeria yaonekana

Mabaki ya ndege iliyopotea ikiwa na watu 116 njiani kutoka Burkanafaso kwenda Algers yamepatikana nchini Mali.

 

11 years ago

GPL

MABAKI YA NDEGE YAONEKANA AUSTRALIA

Msemaji wa masuala ya usalama wa safari za ndege Australia, John Young, akiongea na waandishi wa habari. Mabaki ya  ndege pichani ambayo kimoja kina ukubwa wa mita 24, yameonekana umbali wa kilomita 2500 kusini Magharibi mwa pwani ya Australia. Waziri mkuu wa Australia amesema kuwa mitambo ya satelite ya…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mabaki kama ya ndege yaonekana baharini

Uchina imechapisha picha zilizonaswa na mtambo wake wa satelite zikionyesha mabaki ya kitu kipana kikielea katika bahari ya South China

 

9 years ago

Michuzi

TPDC kuendesha utafiti wa mafuta na gesi kwa ndege

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. James Mataragio akuzungumza na waandishi wa habari (hapo pichani) kuhusu ujio wa ndege ya utafiti wa awali wa mafuta na gesi asilia kwa kutumia ndege katika Kitalu cha Ziwa Tanganyika Kaskazini, Mkurugenzi wa undelezaji wa mafuta na gesi asilia Dkt. Wellngton Hudson (kulia) mkutano huo ulifanyika makao makuu ya TPDC mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Waandishi wa vyombo mbali mbali vya habari wakimsikiliza...

 

5 years ago

BBCSwahili

737 Max: Vifusi vyapatikana kwenye tangi la mafuta ya ndege ya Boeing 737

Ugunduzi huo umezua wasiwasi kuhusiana na usalama wa ndege hizo ambazo zimewahi kufanya ajali.

 

11 years ago

Habarileo

Matumaini Reli ya Kati yaonekana

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiangalia moja ya mabehewa 25 ya kubeba kokoto kutoka India, likishushwa katika bandari ya Dar es Salaam jana. (Picha na Mroki Mroki).MATUMAINI ya kuboreshwa kwa Reli ya Kati kwa lengo la kuimarisha usafirishaji wa abiria na mizigo, yanazidi kuonekana baada ya serikali kuingiza mabehewa 25, ambayo ni maalumu kwa usafirishaji wa vifaa vya ukarabati wa njia hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.

Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.

Hapa usafi ukiendelea.

Hapa ni kazi usafi ukifanyika.

Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani