Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi yaanza tena Yemen

Muungano unaongozwa na Saudi Arabia umerejelea tena mashambulizi ya angani dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yapamba moto Yemen

Ripoti kutoka nchini Yemen zinasema kuwa muungano unaongozwa na Saudi Arabia umefanya mashambuliz kwenye mji mkuu wa nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi zaidi yafanyika Yemen

Vikosi vinavyoongozwa na Saudi Arabia vimeendesha mashambulizi nchini Yemen vikilenga nyumba ya rais wa zamani .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Yemen yawapa tuzo marubani

Mwana wa mfalme nchini Saudi Arabia afurahishwa na mashambulizi ya Yemen,atoa zawadi nono kwa marubani wa ndege za kivita .

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaanza mashambulizi upya Gaza

Majeshi ya Israel imeanza tena upya operesheni yake ya mashambuzi katika eneo la Gaza baada ya kumalizika kwa saa 7 walizotoa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mashambulizi tena

Watu kadhaa katika mji wa Dille, Kaskazini mwa Nigeria, wameuawa, na wengine kutorokea vijiji jirani baada ya kushambuliwa na Boko Haram.

 

10 years ago

StarTV

Mashambulizi mapya yaibuka tena Ukraine.

Ukraine inasema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ameuawa na wengine 14 kujeruhiwa kwenye mashambulizi mapya yanayoendeshwa na waasi wanaoiunga mkono Urusi mashariki mwa nchi.

Kifo hicho ndicho cha nne baada ya siku kadha na kilitokea karibu na mji unaoshikiliwa na waasi wa Donetsk.

Serikali inawalaumu waasi kwa kutumia makombora na silaha zingine nzito zilizopigwa marufuku wakati wa makubaliano ya kusitisha vita.

Makubaliano hayo yalistahili kuwa nchini ya uangalizi wa idara ya usalama ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yaanza tena Nigeria

Mashariki mwa Nigeria zaidi ya watu ishirini wameuawa katika mapigano kati ya wanajeshi na wanamgambo wa kundi la Boko Haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaanza kushambilia Gaza tena

Israel imeanza tena kushambulia Gaza baada ya Hamas kuendelea kuishambulia licha ya mkataba wa kusitisha vita kufikiwa.

 

9 years ago

StarTV

Bandari ya Bukoba yaanza tena shughuli zake.

Manispaa ya Bukoba  imeiruhusu bandari ya Bukoba kuendelea na shughuli za kawaida kufuatia hatua ya uongozi wa Bandari hiyo kukamilisha ujenzi wa choo cha kisasa,tofauti na kile chaawali ambacho kilidaiwa na uongozi wa Manispaa hiyo kutiririsha maji taka kuelekea Ziwani na kusababisha Bandari hiyo kufungiwa  kipindi cha takribani mwezi mmoja .

Meli ya Mv Serengeti ambayo kwa muda wote  ilikuwa ikiitumia bandari ya Kemondo iliyopo  kilometa saba kutoka mjini Bukoba, imeshuhudiwa ikitia nanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani