Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano yaanza tena Nigeria

Mashariki mwa Nigeria zaidi ya watu ishirini wameuawa katika mapigano kati ya wanajeshi na wanamgambo wa kundi la Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaanza tena Sudan Kusini

Mapigano makali yamekuwa yakiendelea katika mji wa Bentiu nchini Sudan Kusini ambapo vikosi vya serikali vinajaribu kuurejesha mji huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yasitishwa tena Ukanda wa Gaza

Makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza kwa siku tatu yafikiwa mjini Cairo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yaanza tena Yemen

Muungano unaongozwa na Saudi Arabia umerejelea tena mashambulizi ya angani dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaanza kushambilia Gaza tena

Israel imeanza tena kushambulia Gaza baada ya Hamas kuendelea kuishambulia licha ya mkataba wa kusitisha vita kufikiwa.

 

9 years ago

StarTV

Bandari ya Bukoba yaanza tena shughuli zake.

Manispaa ya Bukoba  imeiruhusu bandari ya Bukoba kuendelea na shughuli za kawaida kufuatia hatua ya uongozi wa Bandari hiyo kukamilisha ujenzi wa choo cha kisasa,tofauti na kile chaawali ambacho kilidaiwa na uongozi wa Manispaa hiyo kutiririsha maji taka kuelekea Ziwani na kusababisha Bandari hiyo kufungiwa  kipindi cha takribani mwezi mmoja .

Meli ya Mv Serengeti ambayo kwa muda wote  ilikuwa ikiitumia bandari ya Kemondo iliyopo  kilometa saba kutoka mjini Bukoba, imeshuhudiwa ikitia nanga...

 

10 years ago

Michuzi

KESI YA MAUAJI YA ALBINO AARON NONGO YAANZA KUSIKILIZWA TENA

Na Daniel Mbega, Mwanza
KESI ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino) imeanza kusikilizwa tena leo hii kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya kusimama kwa miezi takriban mitano.
Shauri hilo namba 213 la mwaka 2014 liko mbele ya Jaji Robert Makaramba, ambaye ndiyo kwanza ameanza kulisikiliza baada ya jaji wa awali, Ashery Sumari, kupewa uhamisho.
Washtakiwa katika kesi hiyo walikuwa watano, lakini leo hii mahakama imearifiwa kwamba mmoja – Paulo Budeba Genji maarufu kama...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vijiji vyashambuliwa tena Nigeria

Vijiji karibu na Chibok, kaskazini-mashariki mwa Nigeria vyashambuliwa tena na watu wanaoshukiwa kuwa ni Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Stephen Keshi kuongoza tena Nigeria

Stephen Keshi amerejeshewa tena ukufunzi wa timu ya soka ya super eagles wiki mbili tu baada ya shikisho la Nigeria kumfuta.

 

10 years ago

Mwananchi

Buhari wa Nigeria atawacharaza tena bakora wakorofi?

>Miaka ile ya 1980 nilikuwa nasoma sana magazeti ya kimataifa kama ‘Africa,’ ‘Africa Now,’ ‘Africa Events’ na mengineyo yaliyoruhusiwa kuingia nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani