Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijiji vyashambuliwa tena Nigeria

Vijiji karibu na Chibok, kaskazini-mashariki mwa Nigeria vyashambuliwa tena na watu wanaoshukiwa kuwa ni Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya

Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yaanza tena Nigeria

Mashariki mwa Nigeria zaidi ya watu ishirini wameuawa katika mapigano kati ya wanajeshi na wanamgambo wa kundi la Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Stephen Keshi kuongoza tena Nigeria

Stephen Keshi amerejeshewa tena ukufunzi wa timu ya soka ya super eagles wiki mbili tu baada ya shikisho la Nigeria kumfuta.

 

10 years ago

Mwananchi

Buhari wa Nigeria atawacharaza tena bakora wakorofi?

>Miaka ile ya 1980 nilikuwa nasoma sana magazeti ya kimataifa kama ‘Africa,’ ‘Africa Now,’ ‘Africa Events’ na mengineyo yaliyoruhusiwa kuingia nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Diamond tena, kwenye tuzo za Headies 2015 za Nigeria

Baada ya kutangazwa kuwania tuzo mbili za ‘The African Entertainment Legends Awards’ za Nigeria (ingia hapa), Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo nyingine tena za Headies za Naija pia. Diamond ameingia kwenye kipengele kimoja cha msanii wa Afrika (wa nje ya Nigeria). Wasanii wengine ambao wanachuana naye kwenye kipengele hicho ni Cassper Nyovest (Afrika Kusini), Uhuru […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee wameshinda tuzo nyingine za kimataifa za ‘All Africa Music Awards’ (AFRIMA) zilizotolewa usiku wa December 27 huko Lagos, Nigeria. Vanessa a.k.a Vee Money ameshinda kipengele cha ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’, na kuwashinda Wahu (Kenya), Size 8 (Kenya), Muthoni the Drummer Queen (Kenya), Kaz (Kenya) na Jackie Chandiru (Uganda) […]

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.

Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.

Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.

Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana,  tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani