Vijiji vyashambuliwa tena Nigeria
Vijiji karibu na Chibok, kaskazini-mashariki mwa Nigeria vyashambuliwa tena na watu wanaoshukiwa kuwa ni Boko Haram
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 May
Alshabaab yavamia tena vijiji 3 Kenya
Al-Shabaab yavamia vijiji 3 Kaskazini Mashariki mwa Kenya na kupeperusha bendera yao kabla ya kutimuliwa na maafisa wa usalama
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Mapigano yaanza tena Nigeria
Mashariki mwa Nigeria zaidi ya watu ishirini wameuawa katika mapigano kati ya wanajeshi na wanamgambo wa kundi la Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Stephen Keshi kuongoza tena Nigeria
Stephen Keshi amerejeshewa tena ukufunzi wa timu ya soka ya super eagles wiki mbili tu baada ya shikisho la Nigeria kumfuta.
10 years ago
Mwananchi04 May
Buhari wa Nigeria atawacharaza tena bakora wakorofi?
>Miaka ile ya 1980 nilikuwa nasoma sana magazeti ya kimataifa kama ‘Africa,’ ‘Africa Now,’ ‘Africa Events’ na mengineyo yaliyoruhusiwa kuingia nchini.
9 years ago
Bongo530 Sep
Diamond tena, kwenye tuzo za Headies 2015 za Nigeria
Baada ya kutangazwa kuwania tuzo mbili za ‘The African Entertainment Legends Awards’ za Nigeria (ingia hapa), Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo nyingine tena za Headies za Naija pia. Diamond ameingia kwenye kipengele kimoja cha msanii wa Afrika (wa nje ya Nigeria). Wasanii wengine ambao wanachuana naye kwenye kipengele hicho ni Cassper Nyovest (Afrika Kusini), Uhuru […]
10 years ago
Bongo528 Dec
Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee wameshinda tuzo nyingine za kimataifa za ‘All Africa Music Awards’ (AFRIMA) zilizotolewa usiku wa December 27 huko Lagos, Nigeria. Vanessa a.k.a Vee Money ameshinda kipengele cha ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’, na kuwashinda Wahu (Kenya), Size 8 (Kenya), Muthoni the Drummer Queen (Kenya), Kaz (Kenya) na Jackie Chandiru (Uganda) […]
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s640/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfAUlfZLVd4v*yARX8d15DJ9crJFj5g1YvuwM4I9fFRm2*Kr4o249qoL2fMwA1Ksff10JueA9rPqC0*Yj4aNo2xM/LaunchPRPost.png)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania