KUELEKEA MWISHO WA MWAKA TUNATEGEMEA MASHAMBULIZI MTANDAO ZAIDI
![](https://4.bp.blogspot.com/-lTIJZBlbUyM/WilPpCV3tRI/AAAAAAAACHs/elDv2fm1f5MueyDbubVdxPH_k9YK8SoUQCLcBGAs/s72-c/1.jpg)
Nikizungumza na kundi maalum katika vikao vinavyoendelea nimewasilisha ujumbe wa Tahadhari ambapo Uma umetahadharishwa juu ya mashambulizi takriban Milioni hamsini (50 Milioni) duniani kote katika kipindi cha sikukuu yatakayo gharimu kati ya Dola 50 – Dola 5’000 kwa kila shambulizi.
Matarajio hayo ni kutokana na matumizi makubwa ya mtandao katika kufanya miamala mbali mbali ya manunuzi ya bidhaa katika kipindi hiki cha sikukuu ambapo watu wengi duniani kote wamekua wakinunua vitu mbali mbali...
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-MlJTSV9JFGA/VIotMxoZlXI/AAAAAAAABFQ/QiHmWtoMcGo/s72-c/1.jpg)
MCAFEE YASEMA VITA NA UJASUSI MTANDAO UTAONGEZEKA ZAIDI MWAKA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-MlJTSV9JFGA/VIotMxoZlXI/AAAAAAAABFQ/QiHmWtoMcGo/s1600/1.jpg)
Kwa sasa kumeendelea kukua kwa uhalifu unao ihusisha nchi moja dhidi ya nyingine au kampuni moja dhidi ya nyingine yenye malengo ya kupata taarifa za ndani na...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Mashambulizi zaidi Pwani ya Kenya
10 years ago
BBCSwahili10 May
Mashambulizi zaidi yafanyika Yemen
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mipango mizuri mwisho wa mwaka, huanza vyema mwanzo wa mwaka
10 years ago
Mwananchi01 Jan
Mwaka wa uchaguzi,Kikwete atoa salamu za mwisho za mwaka
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Israel yafanya mashambulizi zaidi Gaza
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...