Mipango mizuri mwisho wa mwaka, huanza vyema mwanzo wa mwaka
MWANZO wa kila mwaka ni muda mwafaka wa kutafakari katika nafasi ya mtu mmoja, familia na nchi nzima tumetekeleza vipi mipango na mikakati tuliyokuwa nayo, wapi tumeteleza, nini tulichoshindwa na kupata tathmini nzima ya utekelezaji wetu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ2jYXNGldWP3R6QzRRyJSNLFkc-jzdaGWm1H7Xoa908bbKbGbohvauTMBGu8SowiXQWYW5cdtycWLcSHO2nniIu/banza.jpg)
BANZA: MWAKA HUU NAFUNGA MWANZO MWISHO
Stori: Gladness Mallya
TOFAUTI na mwaka jana ambapo msanii wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ hakuweza kufunga, mwaka huu amesema anafunga mwanzo mwisho mpaka mwezi mtukufu uishe. Msanii wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Akistorisha na Ijumaa, Banza alisema anamshukuru Mungu kwa kuwa mwaka huu ameweza kufunga kwani mwaka jana alishindwa kufunga hata...
10 years ago
Mwananchi01 Jan
Mwaka wa uchaguzi,Kikwete atoa salamu za mwisho za mwaka
>Mwaka wa uchaguzi umeingia. Usiku wa kuamkia leo, Watanzania wameupokea mwaka mpya 2015 huku tafakari kubwa ikiwa ni matukio makubwa yatakayotokea mwaka huu, ukiwamo Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili { Donor Conference } kwa ajili ya kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar unatarajiwa kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu hapa Zanzibar baada kukamilika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
5 years ago
MichuziMUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO,DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/bf85576d-97a1-40b8-a91d-a5ec6a2e0797.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9a9a7b86-710c-425b-9f91-b10ac71598ca.jpg)
10 years ago
Habarileo03 Oct
‘Mipango mizuri utajiri wa gesi utaepusha na laana’
WATANZANIA wameshauriwa kuweka mipango mizuri ili kuhakikisha kwamba rasilimali ya gesi iliyogunduliwa nchini inakuwa yenye manufaa kwa taifa badala ya laana kama ilivyotokea katika baadhi ya nchi barani Afrika.
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mwisho wa mwaka huu, jamani taratibu
Kuna wakati niliwahi kufikiria kutotembea kabisa barabarani nyakati za mwisho wa mwaka kwa sababu tu nilikuwa nahisi kwamba hiki ni kipindi cha balaa kuliko vipindi vyote vya mwaka.
9 years ago
Bongo528 Sep
Kanye West azungumzia mipango yake ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2020
Kama ulikuwa na mashaka juu ya kauli aliyoitoa Kanye West ya kuwa atagombea urais wa Marekani mwaka 2020, rapper huyo amesisitiza kuwa yupo serious na alichokisema. Mwezi uliopita kwenye tuzo za 2015 MTV VMAs, Kanye alitangaza kuwa atagombea Uras wa Marekani ifikapo mwaka 2020, na sasa amethibitisha kuwa alimaanisha kile alichokisema pamoja na kuelezea mipango […]
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kesi ya IPTL yapigwa kalenda hadi mwisho wa mwaka
Kesi ya kupinga maazimio ya Bunge iliyokuwa ianze kusikilizwa leo imeahirishwa hadi siku ya kufunga mwaka Desemba 31, 2014.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AR0Y9F5re08/Uzc8Ir3_tUI/AAAAAAAFXYw/UEh4-MHVGdI/s72-c/LULU_UDOM3.jpg)
WANAFUNZI WA UDOM MWAKA WA MWISHO, WAAHIDI KUJIUNGA NA PPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-AR0Y9F5re08/Uzc8Ir3_tUI/AAAAAAAFXYw/UEh4-MHVGdI/s1600/LULU_UDOM3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2PdJ4KEj4NU/Uzc8AKUhcuI/AAAAAAAFXYo/-F1wOVM8LKQ/s1600/LULU_UDOM4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S6EpfziE7yA/Uzc-BVCrh7I/AAAAAAAFXZA/TTtCeTqu1iA/s1600/PPF+CENTRAL+ZONE+MANAGER6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t6nxamUdzyE/Uzc9EppdbSI/AAAAAAAFXY4/mo2tyuzLSpQ/s1600/PPF+Central+zone+manager.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania