BANZA: MWAKA HUU NAFUNGA MWANZO MWISHO
![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ2jYXNGldWP3R6QzRRyJSNLFkc-jzdaGWm1H7Xoa908bbKbGbohvauTMBGu8SowiXQWYW5cdtycWLcSHO2nniIu/banza.jpg)
Stori: Gladness Mallya TOFAUTI na mwaka jana ambapo msanii wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ hakuweza kufunga, mwaka huu amesema anafunga mwanzo mwisho mpaka mwezi mtukufu uishe. Msanii wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Akistorisha na Ijumaa, Banza alisema anamshukuru Mungu kwa kuwa mwaka huu ameweza kufunga kwani mwaka jana alishindwa kufunga hata...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mipango mizuri mwisho wa mwaka, huanza vyema mwanzo wa mwaka
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Je, huu ndiyo mwanzo wa mwisho?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BkOjhKl2Ths/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mwisho wa mwaka huu, jamani taratibu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-syPVR2kbMXI/VapNZ3hhO1I/AAAAAAAHqUs/cQkc6RwzLx0/s72-c/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLy-Fu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone
![](http://1.bp.blogspot.com/-syPVR2kbMXI/VapNZ3hhO1I/AAAAAAAHqUs/cQkc6RwzLx0/s640/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLy-Fu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Je, ni mwanzo wa mwisho wa Zitto?
YAMEISHAANDIKWA mengi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe. Kitu kimoja tu hakijaandikwa. Nacho ni kuandika tanzia yake...
10 years ago
Vijimambo20 Mar
Zitto: Mwisho ama mwanzo.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-20March2015.jpg)
Baadaye Zitto alikwenda bungeni katika kikao cha jioni kwa ajili ya kuwaaga wabunge wenzake na kuwaeleza sababu za uamuazi wake.
Hata hivyo, kabla ya kuwasili bungeni akisubiri kupewa fursa ya kuwaaga wabunge, aliwaeleza waandishi wa habari kwamba Spika wa Bunge, Anne Makinda amemzuia kuchukua uamuzi huo na kwamba yeye (Zitto) alikuwa akiendelea kumshawishi...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Mwanzo, mwisho Tume ya Jaji Warioba