Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwaka wa uchaguzi,Kikwete atoa salamu za mwisho za mwaka

>Mwaka wa uchaguzi umeingia. Usiku wa kuamkia leo, Watanzania wameupokea mwaka mpya 2015 huku tafakari kubwa ikiwa ni matukio makubwa yatakayotokea mwaka huu, ukiwamo Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Mwananchi

Papa Francisko atoa salamu za Mwaka Mpya

>Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francisko ametoa ujumbe maalumu wa salamu za Mwaka Mpya, akisema vitendo vya rushwa na ufisadi ndivyo vinavyotishia kuuvuruga umoja na amani dunia.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR ATOA SALAMU ZA MWAKA MPYA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa salamu za mwaka mpya wa 2015 kwa wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla na kuwatakia mwaka wenye Amani na Utulivu pia mafanikio makubwa ikiwemo ya Uchumi wa Taifa letu,hafla hiyo ilifanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.[Picha na Ikulu.]

 

9 years ago

Michuzi

Dkt Shein Atoa salamu Kwa Wananchi Kukaribisha Mwaka Mpya na habari zingine kupitia simu TV



Wachezaji wa klabu ya Simba jana wamelionja joto la jiwe baada ya mashabiki wa Ndanda FC kuwavamia wachezaji wakati wa mazoezi.  https://youtu.be/6kqjr9XjQ00
Timu ya CDA imetupwa nje katika mashindano ya kombe la shirikisho baada ya kupokea kichapo cha bao 1 toka kwa Singida United.  https://youtu.be/KmxQHdfWOqUSerikali imetoa tamko kuwa itaendelea kuwalipa mishahara makocha wote  wa timu za taifa   https://youtu.be/Ochi73k6Q64Fahamu mengi kutoka kwa Mch. Samwel Maela akikufundisha mengi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mipango mizuri mwisho wa mwaka, huanza vyema mwanzo wa mwaka

MWANZO wa kila mwaka ni muda mwafaka wa kutafakari katika nafasi ya mtu mmoja, familia na nchi nzima tumetekeleza vipi mipango na mikakati tuliyokuwa nayo, wapi tumeteleza, nini tulichoshindwa na kupata tathmini nzima ya utekelezaji wetu.

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili { Donor Conference } kwa ajili ya kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar unatarajiwa kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu hapa Zanzibar baada kukamilika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Salamu za mwaka mpya za Rais Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa watanzania

h4

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

HOTUBA YA MWAKA 2015 – FINAL.doc by moblog

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani