MCAFEE YASEMA VITA NA UJASUSI MTANDAO UTAONGEZEKA ZAIDI MWAKA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-MlJTSV9JFGA/VIotMxoZlXI/AAAAAAAABFQ/QiHmWtoMcGo/s72-c/1.jpg)
Kumekua na wimbi kubwa la uhalifu mtandao unaofanywa na mhalifu kwa lengo la kujipatia fedha, taarifa na mambo mengine katika maeneo mbali mbali duniani. Katika mfululizo wa vipindi mbali mbali vinavyo weza kusikika "HAPA" nimeweza kueleza hali halisi huku kesho ya uhalifu mtandao kama ilivyo tabiriwa kupata kuangaziwa macho kwa karibu.
Kwa sasa kumeendelea kukua kwa uhalifu unao ihusisha nchi moja dhidi ya nyingine au kampuni moja dhidi ya nyingine yenye malengo ya kupata taarifa za ndani na...
Habari Zinazoendana
5 years ago
Ykileo![](https://4.bp.blogspot.com/-lTIJZBlbUyM/WilPpCV3tRI/AAAAAAAACHs/elDv2fm1f5MueyDbubVdxPH_k9YK8SoUQCLcBGAs/s72-c/1.jpg)
KUELEKEA MWISHO WA MWAKA TUNATEGEMEA MASHAMBULIZI MTANDAO ZAIDI
![](https://4.bp.blogspot.com/-lTIJZBlbUyM/WilPpCV3tRI/AAAAAAAACHs/elDv2fm1f5MueyDbubVdxPH_k9YK8SoUQCLcBGAs/s200/1.jpg)
Matarajio hayo ni kutokana na matumizi makubwa ya mtandao katika kufanya miamala mbali mbali ya manunuzi ya bidhaa katika kipindi hiki cha sikukuu ambapo watu wengi duniani kote wamekua wakinunua vitu mbali mbali...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...
10 years ago
Michuzi08 May
10 years ago
Vijimambo08 May
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Tunaweza kufanikiwa zaidi mwaka 2015
9 years ago
Bongo526 Dec
Video 25 za Bongo Flava zilizotazamwa zaidi kwenye Youtube mwaka 2015
![youtube-logo-name-1920](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/youtube-logo-name-1920-300x194.jpg)
Kukua kwa teknolojia kumeufanya muziki usambae kwa haraka zaidi katika miaka ya hivi karibuni. Kwa sasa watu wengi huzitazama video za muziki kwenye simu zao zaidi kuliko hata kwenye TV zao.
Infact huanza kuziona video mpya kwenye smartphones zao dakika chache tu baada ya video kuwekwa Youtube.
Mwaka huu zimetoka video nyingi nzuri za muziki lakini si zote zilizopata views nyingi. Tumeangalia video 25 zilizotazamwa zaidi kwa mwaka 2015.
Video hizi ni zile zilizotoka kuanzia January hadi...
9 years ago
Bongo510 Dec
Barack Obama autaja wimbo wa Hip Hop uliomdatisha zaidi mwaka 2015
![obama kendrick](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/obama-kendrick-300x194.jpg)
Watu wengi huwa wanahamu ya kufahamu viongozi wao wa nchi wanapendelea kusikiliza muziki wa aina gani na wanawapenda wasanii gani kwenye upande wao wa maisha ya kawaida.
Mfano kwa Rais wetu Magufuli unahisi anaweza kuwa anapenda kumskiliza msanii gani wa Bongo? Ni kitu ambacho wengi wangependa kufahamu.
Upande wa Rais wa Marekani, Barack Obama ameweka wazi wimbo alioupenda zaidi kwa mwaka 2015 kupitia mahojiano na People Magazine, kuwa ni ‘How Much A Dollar Cost’ ya rapa Kendrick...
9 years ago
Bongo506 Jan
Nielsen Music yatoa orodha ya albamu 10 zilizouza zaidi Marekani mwaka 2015
![Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2-300x194.jpg)
Kampuni ya Nielsen Music imetoa orodha ya album 10 zilizouza zaidi mwaka 2015 nchini Marekani.
Imeanza kuangalia mauzo ya album hizo kuanzia Dec. 29, 2014 hadi Dec. 31, 2015. Hii ni orodha nzima:
1 Adele, 25 – 8,008,000
2 Taylor Swift, 1989 – 3,105,000
3 Justin Bieber, Purpose – 2,225,000
4 Ed Sheeran, X- 2,206,000
5 The Weeknd, Beauty Behind the Madness – 2,045,000
6 Drake, If You’re Reading This It’s Too Late – 1,919,000
7 Meghan Trainor, Title – 1,795,000
8 Sam Smith, In the Lonely...
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
Urusi yasema yapigwa vita vya maneno