Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nielsen Music yatoa orodha ya albamu 10 zilizouza zaidi Marekani mwaka 2015

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Kampuni ya Nielsen Music imetoa orodha ya album 10 zilizouza zaidi mwaka 2015 nchini Marekani.

Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2

Imeanza kuangalia mauzo ya album hizo kuanzia Dec. 29, 2014 hadi Dec. 31, 2015. Hii ni orodha nzima:

1 Adele, 25 – 8,008,000
2 Taylor Swift, 1989 – 3,105,000
3 Justin Bieber, Purpose – 2,225,000
4 Ed Sheeran, X- 2,206,000
5 The Weeknd, Beauty Behind the Madness – 2,045,000
6 Drake, If You’re Reading This It’s Too Late – 1,919,000
7 Meghan Trainor, Title – 1,795,000
8 Sam Smith, In the Lonely...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Marekani yatoa orodha ya makampuni yanayomilikiwa na Jeshi la China na kuonya

Idara ya ulinzi nchini Marekani imebaini kwamba makampuni 20 makubwa nchini China, ikiwemo Huwawei yanamilikiwa na jeshi la China.

 

9 years ago

Bongo5

American Music Awards 2015: Orodha kamili ya washindi

amas

Tuzo za za Muziki za Marekani ‘American Music Awards 2015’(AMAs) zimetolewa usiku wa Jumapili (Nov 22) kwenye ukumbi wa Microsoft Theater jijini Los Angeles.

amas

Jennifer Lopez ndiye alikuwa mc wa shughuli hiyo.

Ifuatayo ni orodha ya washindi:

ARTIST OF THE YEAR
• Luke Bryan
• Ariana Grande
• Maroon 5
• Nicki Minaj
• One Direction — WINNER
• Ed Sheeran
• Sam Smith
• Taylor Swift
• Meghan Trainor
• The Weeknd

NEW ARTIST OF THE YEAR PRESENTED BY KOHL’S
• Fetty Wap
• Sam Hunt — WINNER
• Tove...

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa MTV Video Music Awards 2015

Tuzo za MTV Video Music Awards 2015 zimetolewa Jumapili Agosti 30, 2015 huko Los Angeles, Marekani. Muimbaji Taylor Swift aliyekuwa anawania vipengele 10 ameongoza kwa kushinda tuzo 4 za ‘Video of the year’ , Best Female Video’ ambayo kawashinda Nicki Minaj na Beyonce. Zingine alizoshinda ni ‘Best Pop Video’ pamoja na ‘Best Collaboration’. Hii ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya wanaowania American Music Awards 2015, Taylor Swift aongoza

Orodha ya wasanii wanaowania American Music Awards 2015 yametangazwa, ambapo mwimbaji Taylor Swift ndiye mwenye nominations nyingi zaidi akiwa anawania vipengele sita ikiwa ni pamoja na msanii bora wa mwaka. Jennifer Lopez ndiye atakuwa host wa tuzo hizo kwa mwaka huu, ikiwa ni mara yake ya kwanza kupata nafasi hiyo. Tuzo za AMAs zitatolewa Nov.22. […]

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya wachezaji 12 wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka 2015

Hii ni orodha ya wachezaji wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka huu kwa mujibu wa Forbes. 1. Roger Federer – $67 million 2. Novak Djokovic – $48.2 million 3. Rafael Nadal – $32.5 million 4. Maria Sharapova -$29.7 millio 5. Serena Williams – $24.6 million 6. Andy Murray – $22.3 million 7. Kei Nishikori […]

 

9 years ago

Bongo5

Katy Perry aongoza orodha ya ‘Forbes Highest Paid Women In Music 2015’

Katy

Jarida la Forbes limetoa orodha ya wanawake wanaoongoza kwa kuingiza pesa nyingi zaidi kwenye muziki kwa mwaka 2015 (Forbes Highest Paid Women In Music 2015).

Katy

Katy Perry ndiye mwanamke anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwenye muziki kwa mwaka huu, kwa mujibu wa orodha hiyo. Perry amekamata nafasi ya kwanza kwa kuingiza $135 million kwa kipindi cha mwka ammoja kuanzia June 1, 2014, hadi June 1, 2015.

Nafasi ya pili imeshikiliwa na Taylor Swift ambaye ameingiza $80...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL

Smalling-Vardy-Ozil-De-Bruyne

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.

Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.

Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;

Golikipa

Jack Butland -Stoke...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunaweza kufanikiwa zaidi mwaka 2015

Tukiutathmini mwaka uliopita tunapaswa kupata nguvu zaidi ya kutuwezesha kufanikiwa mwaka huu. Sehemu tulizokwama au kujikwaa ziwe mafunzo ya kujiboresha zaidi na kusonga mbele kwa umakini zaidi.

 

10 years ago

Ykileo

MCAFEE YASEMA VITA NA UJASUSI MTANDAO UTAONGEZEKA ZAIDI MWAKA 2015

Kumekua na wimbi kubwa la uhalifu mtandao unaofanywa na mhalifu kwa lengo la kujipatia fedha, taarifa na mambo mengine katika maeneo mbali mbali duniani. Katika mfululizo wa vipindi mbali mbali vinavyo weza kusikika "HAPA" nimeweza kueleza hali halisi huku kesho ya uhalifu mtandao kama ilivyo tabiriwa kupata kuangaziwa macho kwa karibu.


Kwa sasa kumeendelea kukua kwa uhalifu unao ihusisha nchi moja dhidi ya nyingine au kampuni moja dhidi ya nyingine yenye malengo ya kupata taarifa za ndani na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani