Nielsen Music yatoa orodha ya albamu 10 zilizouza zaidi Marekani mwaka 2015
Kampuni ya Nielsen Music imetoa orodha ya album 10 zilizouza zaidi mwaka 2015 nchini Marekani.
Imeanza kuangalia mauzo ya album hizo kuanzia Dec. 29, 2014 hadi Dec. 31, 2015. Hii ni orodha nzima:
1 Adele, 25 – 8,008,000
2 Taylor Swift, 1989 – 3,105,000
3 Justin Bieber, Purpose – 2,225,000
4 Ed Sheeran, X- 2,206,000
5 The Weeknd, Beauty Behind the Madness – 2,045,000
6 Drake, If You’re Reading This It’s Too Late – 1,919,000
7 Meghan Trainor, Title – 1,795,000
8 Sam Smith, In the Lonely...
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Marekani yatoa orodha ya makampuni yanayomilikiwa na Jeshi la China na kuonya
9 years ago
Bongo523 Nov
American Music Awards 2015: Orodha kamili ya washindi
![amas](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/amas-300x194.jpg)
Tuzo za za Muziki za Marekani ‘American Music Awards 2015’(AMAs) zimetolewa usiku wa Jumapili (Nov 22) kwenye ukumbi wa Microsoft Theater jijini Los Angeles.
Jennifer Lopez ndiye alikuwa mc wa shughuli hiyo.
Ifuatayo ni orodha ya washindi:
ARTIST OF THE YEAR
• Luke Bryan
• Ariana Grande
• Maroon 5
• Nicki Minaj
• One Direction — WINNER
• Ed Sheeran
• Sam Smith
• Taylor Swift
• Meghan Trainor
• The Weeknd
NEW ARTIST OF THE YEAR PRESENTED BY KOHL’S
• Fetty Wap
• Sam Hunt — WINNER
• Tove...
9 years ago
Bongo531 Aug
Orodha ya washindi wa MTV Video Music Awards 2015
9 years ago
Bongo515 Oct
Orodha ya wanaowania American Music Awards 2015, Taylor Swift aongoza
9 years ago
Bongo505 Sep
Orodha ya wachezaji 12 wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka 2015
9 years ago
Bongo506 Nov
Katy Perry aongoza orodha ya ‘Forbes Highest Paid Women In Music 2015’
![Katy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Katy-300x194.jpg)
Jarida la Forbes limetoa orodha ya wanawake wanaoongoza kwa kuingiza pesa nyingi zaidi kwenye muziki kwa mwaka 2015 (Forbes Highest Paid Women In Music 2015).
Katy Perry ndiye mwanamke anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwenye muziki kwa mwaka huu, kwa mujibu wa orodha hiyo. Perry amekamata nafasi ya kwanza kwa kuingiza $135 million kwa kipindi cha mwka ammoja kuanzia June 1, 2014, hadi June 1, 2015.
Nafasi ya pili imeshikiliwa na Taylor Swift ambaye ameingiza $80...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Tunaweza kufanikiwa zaidi mwaka 2015
10 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-MlJTSV9JFGA/VIotMxoZlXI/AAAAAAAABFQ/QiHmWtoMcGo/s72-c/1.jpg)
MCAFEE YASEMA VITA NA UJASUSI MTANDAO UTAONGEZEKA ZAIDI MWAKA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-MlJTSV9JFGA/VIotMxoZlXI/AAAAAAAABFQ/QiHmWtoMcGo/s1600/1.jpg)
Kwa sasa kumeendelea kukua kwa uhalifu unao ihusisha nchi moja dhidi ya nyingine au kampuni moja dhidi ya nyingine yenye malengo ya kupata taarifa za ndani na...