Katy Perry aongoza orodha ya ‘Forbes Highest Paid Women In Music 2015’
Jarida la Forbes limetoa orodha ya wanawake wanaoongoza kwa kuingiza pesa nyingi zaidi kwenye muziki kwa mwaka 2015 (Forbes Highest Paid Women In Music 2015).
Katy Perry ndiye mwanamke anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwenye muziki kwa mwaka huu, kwa mujibu wa orodha hiyo. Perry amekamata nafasi ya kwanza kwa kuingiza $135 million kwa kipindi cha mwka ammoja kuanzia June 1, 2014, hadi June 1, 2015.
Nafasi ya pili imeshikiliwa na Taylor Swift ambaye ameingiza $80...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen13 Jun
Mayweather knocks Tiger off Forbes ‘highest-paid’ list
9 years ago
Bongo523 Sep
Diddy aongoza ‘Forbes Hip-Hop Cash Kings 2015’, akifuatiwa na Jay Z na Drake (Orodha kamili)
9 years ago
Bongo515 Oct
Orodha ya wanaowania American Music Awards 2015, Taylor Swift aongoza
10 years ago
Africanjam.ComWORLD's HIGHEST PAID ACTORS 2015 "TOP FIVE"
Iron Man Robert Downey Jr.'s earnings skyrocketed to his highest ever annual payday, thanks to top-grossing movies such as Avengers:
JACKLIE CHAN $50M
China's biggest movie star banked big from East-West coproductions like Dragon Blade that earned him healthy back-
end participation.
VIN DIESEL $47M
Diesel sped his way to the best yearly paycheck of his career from his role in Furious 7, which grossed $1.5 billion at the box office.
BRADLEY COOPER $41.5M
Cooper's ability to...
10 years ago
Bongo505 Nov
Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014
9 years ago
Bongo520 Nov
2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam
![dangote-dewji-rostam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/dangote-dewji-rostam-300x194.jpg)
Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.
Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Watawa wakataa kumuuzia nyumba Katy Perry
9 years ago
Bongo528 Oct
Michael Jackson aongoza orodha ya ‘Forbes World’s top-earning dead celebrity’ kwa dola M 115 mwaka huu
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet19 Mar
Katy Perry Easily Hid Her Pregnancy Because She's Always Been 'Curvy and Hungry'