Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katy Perry aongoza orodha ya ‘Forbes Highest Paid Women In Music 2015’

Katy

Jarida la Forbes limetoa orodha ya wanawake wanaoongoza kwa kuingiza pesa nyingi zaidi kwenye muziki kwa mwaka 2015 (Forbes Highest Paid Women In Music 2015).

Katy

Katy Perry ndiye mwanamke anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwenye muziki kwa mwaka huu, kwa mujibu wa orodha hiyo. Perry amekamata nafasi ya kwanza kwa kuingiza $135 million kwa kipindi cha mwka ammoja kuanzia June 1, 2014, hadi June 1, 2015.

Nafasi ya pili imeshikiliwa na Taylor Swift ambaye ameingiza $80...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Mayweather knocks Tiger off Forbes ‘highest-paid’ list

Mayweather also topped the list with $85 million in 2012, ending 14-time major golf champion Woods’ run atop the 100-athlete list from 2001-2011.

 

9 years ago

Bongo5

Diddy aongoza ‘Forbes Hip-Hop Cash Kings 2015’, akifuatiwa na Jay Z na Drake (Orodha kamili)

Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya wasanii wa Hip Hop wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka 2015. Sean “Diddy” Combs ndiye anayeongoza orodha ya mwaka huu (Kutoka nafasi ya pili aliyoshika mwaka jana) na kufanikiwa kumuengua Dr. Dre kwa kutengeneza $60 million. Fedha nyingi za Diddy zimetokana na miradi yake ya Ciroc vodka […]

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya wanaowania American Music Awards 2015, Taylor Swift aongoza

Orodha ya wasanii wanaowania American Music Awards 2015 yametangazwa, ambapo mwimbaji Taylor Swift ndiye mwenye nominations nyingi zaidi akiwa anawania vipengele sita ikiwa ni pamoja na msanii bora wa mwaka. Jennifer Lopez ndiye atakuwa host wa tuzo hizo kwa mwaka huu, ikiwa ni mara yake ya kwanza kupata nafasi hiyo. Tuzo za AMAs zitatolewa Nov.22. […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

WORLD's HIGHEST PAID ACTORS 2015 "TOP FIVE"

ROBERT DOWNEY  $80M
Iron Man Robert Downey Jr.'s earnings skyrocketed to his highest ever annual payday, thanks to top-grossing movies such as Avengers:


JACKLIE CHAN $50M

China's biggest movie star banked big from East-West coproductions like Dragon Blade that earned him healthy back-
end participation.

VIN DIESEL $47M

Diesel sped his way to the best yearly paycheck of his career from his role in Furious 7, which grossed $1.5 billion at the box office.



BRADLEY COOPER $41.5M

Cooper's ability to...

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014

Beyonce ndiye mwanamke kwenye muziki aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka 2014. Kwa mujibu wa jarida la Forbes, mke huyo wa Jay Z ameingiza dola milioni 115 mwaka huu ikiwa ni zaidi ya nusu ya aliyoingiza mwaka jana. Fedha hizo zimepatikana zaidi kutokana na ziara yake ya muziki duniani na hivyo kumpiku Taylor Swift ambaye mwaka […]

 

9 years ago

Bongo5

2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam

dangote-dewji-rostam

Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.

forbes1

Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watawa wakataa kumuuzia nyumba Katy Perry

Mpango wa Katy Perry wa kutaka kununua jumba moja la watawa wa kikatoliki umepingwa na watawa waliokuwa wakiishi katika jumba hilo.

 

9 years ago

Bongo5

Michael Jackson aongoza orodha ya ‘Forbes World’s top-earning dead celebrity’ kwa dola M 115 mwaka huu

Kwa mujibu wa Forbes, marehemu Michael Jackson ndiye mtu maarufu (waliofariki) aliyeingiza pesa nyingi zaidi mwaka huu duniani, kwa kiasi cha dola milioni 115 ikiwa ni miaka sita toka mfalme huyo wa Pop duniani afariki dunia June 25, 2009. Huu ni mwaka wa tatu mfululizo MJ anatajwa kuongoza orodha hiyo ya Forbes. Mwaka jana aliingiza […]

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Katy Perry Easily Hid Her Pregnancy Because She's Always Been 'Curvy and Hungry'

Katy Perry Easily Hid Her Pregnancy Because She's Always Been 'Curvy and Hungry'  Showbiz Cheat SheetKaty Perry wins appeal in $2.8m plagiarism case  The GuardianJudge Reverses Rapper's $2.78 Million Victory Against Katy Perry  XXLMAG.COMShowBiz Minute: Perry, Glastonbury, Hanks  Associated PressKaty Perry wins reversal of Dark Horse plagiarism verdict  BBC NewsView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani