Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watawa wakataa kumuuzia nyumba Katy Perry

Mpango wa Katy Perry wa kutaka kununua jumba moja la watawa wa kikatoliki umepingwa na watawa waliokuwa wakiishi katika jumba hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Katy Perry Easily Hid Her Pregnancy Because She's Always Been 'Curvy and Hungry'

Katy Perry Easily Hid Her Pregnancy Because She's Always Been 'Curvy and Hungry'  Showbiz Cheat SheetKaty Perry wins appeal in $2.8m plagiarism case  The GuardianJudge Reverses Rapper's $2.78 Million Victory Against Katy Perry  XXLMAG.COMShowBiz Minute: Perry, Glastonbury, Hanks  Associated PressKaty Perry wins reversal of Dark Horse plagiarism verdict  BBC NewsView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Vijimambo

Katy Perry says ex Russell Brand hasn’t spoken to her since he texted her to say he was filing for divorce

How can you send a text to your wife of over a year to tell her you're filing for a divorce? She didn't deserve a call or a sit-down to talk? That's what Russell Brand did to Katy Perry and she says he hasn't spoken to her once since he sent that text to her back in 2013.
Speaking to Australia's Daily Telegraph today, Katy said "He hasn’t spoken to me since he texted me saying he was filing for divorce."
People first found out Russell asked for divorce by text message when Katy referenced the...

 

9 years ago

Bongo5

Katy Perry aongoza orodha ya ‘Forbes Highest Paid Women In Music 2015’

Katy

Jarida la Forbes limetoa orodha ya wanawake wanaoongoza kwa kuingiza pesa nyingi zaidi kwenye muziki kwa mwaka 2015 (Forbes Highest Paid Women In Music 2015).

Katy

Katy Perry ndiye mwanamke anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwenye muziki kwa mwaka huu, kwa mujibu wa orodha hiyo. Perry amekamata nafasi ya kwanza kwa kuingiza $135 million kwa kipindi cha mwka ammoja kuanzia June 1, 2014, hadi June 1, 2015.

Nafasi ya pili imeshikiliwa na Taylor Swift ambaye ameingiza $80...

 

10 years ago

Vijimambo

MKE AKIRI MUMEWE BWANA BALENGA KUMUUZIA NYUMBA MFANYABIASHARA HANS MACHA KUTOKANA NA KULEMEWA NA MADENI YA MAMILIONI YA FEDHA ALIZOKOPA


DAR ES SALAAM, Tanzania
MKE wa mlalamikaji katika kesi ya kughushi dhidi ya Mfanyabiashara Hans Macha (pichani), amedai mahakamani kwamba mumewe anadaiwa fedha nyingi na mshtakiwa, alishindwa kulipa akaamua kumuuzia nyumba.

Mke huyo Nurya Ahmad (34),ambaye ni shahidi wa upande wa utetezi, amedai hayo leo Desemba Mosi, katika Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu,Dar es Salaam, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, kwa kuongozwa na wakili wa utetezi, Deo Ringia.

Nurya amedai mahakamani hapo kwamba...

 

10 years ago

Bongo5

Duka la London lakataa kumuuzia saa Samuel Eto’o sababu ni mtu mweusi!

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Samuel Eto’o amedai kuwa amewahi kuwa mhanga wa ubaguzi wa rangi pindi alipoenda kufanya shopping kwenye duka moja jijini London. Mchezaji huyo raia wa Cameroon, ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Italia, Sampdoria, ameiambia CNN kuwa alibaguliwa baada ya kwenda kununua saa yenye thamani ya £10,000. Eto’o — ambaye kuna […]

 

9 years ago

Bongo5

Katy Pery kumfanyia kampeni Hillary Clinton

Hillary Clinton atapata shavu kutoka kwa mwanamuziki wa kike mwenye nguvu nchini Marekani, Katy Perry atakayeungana naye kwenye kampeni za urais. Perry – miongoni mwa wasanii wanaouza kazi zaidi duniani, mwenye followers wengi kuliko mtu yeyote, milioni 76.3, ataungana na Clinton huko Iowa, October 24. Clinton anawania kuja kuwa rais wa kwanza mwanamke nchini Marekani. […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Watawa 3 wakongwe wauawa Burundi

Watawa watatu wakongwe wameuawa mjini Bunjumbura katika makazi ya watawa wanawake na mhalifu mwenye tatizo la kiakili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watawa waachiliwa huru Syria

Imethibitishwa kuwa waasi nchini Syria wamewaachilia huru watawa 13 na wafanyikazi 3 wa nyumbani waliotekwa nyara mwaka jana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani