Watawa 3 wakongwe wauawa Burundi
Watawa watatu wakongwe wameuawa mjini Bunjumbura katika makazi ya watawa wanawake na mhalifu mwenye tatizo la kiakili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Watu wanane wauawa Burundi
BUNJUMBURA, BURUNDI
WATU wanane wameuawa kwa risasi kwenye mji mkuu wa Burundi, Bunjumbura usiku wa kuamkia jana.
Mji huo umekuwa ukikumbwa na mashambulizi ya risasi, milipuko ya mabomu tangu kumalizika kwa uchaguzi wa rais wenye utata miezi mitatu iliyopita.
Kwa mujibu ya walioshuhudia baadhi ya miili, ambayo ilikutwa katika barabara za vitongoji vya kaskazini mwa Bunjumbura ilikuwa na majeraha ya risasi kichwani, pamoja na alama za kamba kuashiria kuwa walifungwa nazo kabla ya...
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Watu 7 wauawa kinyama Burundi
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Watetezi wa chama tawala Burundi wauawa
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
2 wauawa siku 1 kabla ya uchaguzi Burundi
10 years ago
StarTV05 May
Watu 3 wauawa katika maandamano Burundi.
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
Ghasia Burundi
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
viagra online pharmacy in australia BBC
10 years ago
BBCSwahili04 May
Watu 2 wauawa katika maandamano Burundi
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mpiga picha na familia yake wauawa Burundi