Barack Obama autaja wimbo wa Hip Hop uliomdatisha zaidi mwaka 2015
Watu wengi huwa wanahamu ya kufahamu viongozi wao wa nchi wanapendelea kusikiliza muziki wa aina gani na wanawapenda wasanii gani kwenye upande wao wa maisha ya kawaida.
Mfano kwa Rais wetu Magufuli unahisi anaweza kuwa anapenda kumskiliza msanii gani wa Bongo? Ni kitu ambacho wengi wangependa kufahamu.
Upande wa Rais wa Marekani, Barack Obama ameweka wazi wimbo alioupenda zaidi kwa mwaka 2015 kupitia mahojiano na People Magazine, kuwa ni ‘How Much A Dollar Cost’ ya rapa Kendrick...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 Dec
2014 Forest Hills Drive ya J.Cole yawa album ya hip hop iliyouza zaidi kwenye wiki ya kwanza mwaka huu
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s72-c/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP
![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0B_Dy7O2VNE/VfpRVpp2OSI/AAAAAAAD7rw/II801JgrByg/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Bongo521 Dec
Ali Choki asema muziki anaopenda zaidi kusikiliza ni Hip Hop
![choki](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/choki-300x194.jpg)
Muimbaji wa muziki wa dansi nchini, Ali Choki a.k.a mzee wa farasi ameweka wazi kuwa katika maisha yake ya kila siku anapenda zaidi kusikiliza muziki wa Hiphop kuliko aina yoyote nyingine ya muziki.
Ali Choki alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Weekend Breakfast ya East Africa Radio siku ya Jumapili, Choki amedai hata siri kubwa ya uandishi wake pamoja na visa anavyokuwa anaimba vinatokana na kusikiliza sana muziki wa Hip Hop hasa zaidi kwa rappers kutoka nje.
“Unajua kitu ambacho...
10 years ago
Michuzi20 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4BmQNwDwYos/VXanSaut-_I/AAAAAAADqxg/R_WnYMXz5KA/s72-c/JITOKEZE%2BPOSTER.%2BSWAHILI%2BSMALL.jpg)
JITOKEZE 2015 & HIP HOP AND RAP STAR SEARCH (LIVE EDITION)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4BmQNwDwYos/VXanSaut-_I/AAAAAAADqxg/R_WnYMXz5KA/s640/JITOKEZE%2BPOSTER.%2BSWAHILI%2BSMALL.jpg)
Guest Judges: DJ JD, DJ K.U And DJ One BPerformances by: Nash Emcee, Raf MC, Witness Kibonge and Motra the Future
DATE: 13/06/2015 (Saturday)VENUE: MICHUNGWANI PR.SCHOOL MIKOCHENITIME: 12:00 Noon - 8:00 Pm
![](http://1.bp.blogspot.com/-in3gYWKxmgM/VXanVml8yVI/AAAAAAADqxo/__s71ZNMVIc/s640/SWAHILI%2BMAP.jpg)
9 years ago
Bongo515 Oct
Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza
9 years ago
Bongo523 Sep
Diddy aongoza ‘Forbes Hip-Hop Cash Kings 2015’, akifuatiwa na Jay Z na Drake (Orodha kamili)