Urusi yasema yapigwa vita vya maneno
Urusi yalalamika kuwa mataifa ya Magharibi yaishambulia kwa maneno
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Urusi yasema huenda ikashambulia IS
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi
Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS
Wizara ya ulinzi ya Urusi imeituhumu familia ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kwa kuhusika katika biashara ya mafuta na kundi la Islamic State.
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Urusi yapigwa marufuku kushiriki riadha
Urusi imeondolewa kwa muda kutoka kwa mashindano ya kimataifa, baada ya kutuhumiwa kuhusika katika matumizi ya dawa za kutitimua misuli.
5 years ago
BBCSwahili27 May
Marekani yasema Urusi inawafadhili mamluki Libya
Jeshi la Marekani limeishutumu Urusi kwa kutuma ndege za kijeshi nchini Libya kuunga mkono mamluki wa Urusi nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi
Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema kuwa Ankara itafanya kazi na Urusi pamoja na washirika wake ili kuzima wasiwasi baada ya Uturuki kuidungua ndege ya Urusi.
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Urusi:hatutaki vita na Ukraine
Urusi imesema haina mpango wa kuingia vitani na Ukraine,hata hivyo inaunga mkono mpango wa upigaji kura ya maoni mjini Crimea
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania