Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi yapigwa marufuku kushiriki riadha

Urusi imeondolewa kwa muda kutoka kwa mashindano ya kimataifa, baada ya kutuhumiwa kuhusika katika matumizi ya dawa za kutitimua misuli.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

HYAC kushiriki riadha Mapinduzi Zanzibar

CHAMA cha Riadha Zanzibar (ZAAA), kimeialika Klabu ya Riadha ya Holili (HYAC), yenye maskani yake Rombo, mkoani Kilimanjaro, kushiriki michezo ya maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi ya visiwa hivyo....

 

11 years ago

BBCSwahili

Veronica kushiriki riadha mwaka huu

Veronica Campbell-Brown atashiriki mashindano ya riadha mwaka huu .

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea:kura yapigwa kujiunga na urusi

Wabunge wa Crimea wamepiga kura kujiunga na Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema yapigwa vita vya maneno

Urusi yalalamika kuwa mataifa ya Magharibi yaishambulia kwa maneno

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wakuu wa riadha Kenya wapigwa marufuku

Kamati ya maadili ya shirikisho la riadha duniani IAAF limewapiga marufuku kwa muda viongozi watatu wa shirikisho la riadha la Kenya.

 

9 years ago

Habarileo

Maandamano ya Chadema yapigwa marufuku

POLISI mkoani Shinyanga imezuia maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mjini hapa yaliyotarajiwa kufanyika leo.

 

9 years ago

Mtanzania

Mita 200 yapigwa marufuku

Pg 4 oct 24Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetamka bayana kwamba hairuhusiwi watu kukutana mahali popote bila kujali umbali wake siku ya uchaguzi kesho.

Uamuzi huo ulitolewa na jopo la majaji watatu waliokuwa wakisikiliza mvutano wa kisheria kuhusu kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.

Mwenyekiti wa jopo hilo, Sekieti Kihiyo na Jaji Lugano Mwandambo kwa nyakati tofauti walipokuwa wakisoma uamuzi huo, walisema wamezingatia hoja zilizowasilishwa na pande mbili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Morocco yapigwa marufuku na CAF

Morocco imepigwa marufuku kushiriki katika michuano miwili ya kombe la Afrika baada ya kushindwa kuandaa michuano ya mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahari yapigwa marufuku Tororo Uganda

Wilaya ya Tororo imepiga marufuku utoaji wa Mahari ikisema inadhalilisha mwanamke

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani