Marekani yasema Urusi inawafadhili mamluki Libya
Jeshi la Marekani limeishutumu Urusi kwa kutuma ndege za kijeshi nchini Libya kuunga mkono mamluki wa Urusi nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Urusi yasema huenda ikashambulia IS
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi
Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS
Wizara ya ulinzi ya Urusi imeituhumu familia ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kwa kuhusika katika biashara ya mafuta na kundi la Islamic State.
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
Urusi yasema yapigwa vita vya maneno
Urusi yalalamika kuwa mataifa ya Magharibi yaishambulia kwa maneno
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi
Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema kuwa Ankara itafanya kazi na Urusi pamoja na washirika wake ili kuzima wasiwasi baada ya Uturuki kuidungua ndege ya Urusi.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Marekani yasema imefanikiwa dhidi ya IS
Mkuu wa majeshi wa Marekani amesema kampeni ya miezi mitatu dhidi ya dola ya kiislamu Islamic State imekuwa na mafanikio.
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Marekani yasema imemuua Ahmed Godane
Taarifa kutoka idara ya ulinzi ya Marekani Pentagon zinasema kuwa mmoja wa wanzilishi wa Al Shabaab Ahmed Godane ameuawa.
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Marekani yaishutumu Urusi
Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Majibizano kati ya Marekani na Urusi UN
Majibizano makali yazuka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baina ya mabalozi wa Marekani na Urusi .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania