Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yasema Urusi inawafadhili mamluki Libya

Jeshi la Marekani limeishutumu Urusi kwa kutuma ndege za kijeshi nchini Libya kuunga mkono mamluki wa Urusi nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema huenda ikashambulia IS

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi

Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS

Wizara ya ulinzi ya Urusi imeituhumu familia ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kwa kuhusika katika biashara ya mafuta na kundi la Islamic State.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema yapigwa vita vya maneno

Urusi yalalamika kuwa mataifa ya Magharibi yaishambulia kwa maneno

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi

Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema kuwa Ankara itafanya kazi na Urusi pamoja na washirika wake ili kuzima wasiwasi baada ya Uturuki kuidungua ndege ya Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yasema imefanikiwa dhidi ya IS

Mkuu wa majeshi wa Marekani amesema kampeni ya miezi mitatu dhidi ya dola ya kiislamu Islamic State imekuwa na mafanikio.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yasema imemuua Ahmed Godane

Taarifa kutoka idara ya ulinzi ya Marekani Pentagon zinasema kuwa mmoja wa wanzilishi wa Al Shabaab Ahmed Godane ameuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishutumu Urusi

Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majibizano kati ya Marekani na Urusi UN

Majibizano makali yazuka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baina ya mabalozi wa Marekani na Urusi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani