Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majibizano kati ya Marekani na Urusi UN

Majibizano makali yazuka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baina ya mabalozi wa Marekani na Urusi .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Hakuna mwafaka kati ya Marekani ,Urusi.

Waziri wa maswala ya kigeni wa Marekani John Kerry asema hawakukubaliana na mwenzake wa urusi Sergei Lavrov kuhusiana na Ukraine

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yaingilia kati vita ya Ukraine.

Balozi wa Marekani nchini Ukraine,Geoffrey Pyatt, amesema wanajeshi wa Urusi wanaingilia mapigano kusini mashariki mwa Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishutumu Urusi

Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yazikosoa sera za Urusi

Waziri wa ulinzi wa Marekani,Ashton Carter, amezikosoa sera za Urusi kwa kutoheshimu sheria za kimataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo la Marekani kwa Urusi

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ameonya Urusi kuwa ikiendelea kuchochea hali nchini Ukraine, itatengwa na jamii ya kimataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Urusi kukutana Geneva

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry na mwenzake wa Urusi Sergey Lavrov wanatarajiwa kufanya mazungumzo

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yasusia mazungumzo na Urusi

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani,John Kerry hatakutana na Rais Vladmir Putin wa Urusi, mpaka atakaporidhia mapendekezo

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi

Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kuhusu vikwazo

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry ameitaka Urusi kupunguza ukali wa matamshi yake la sivyo iwekewe vikwazo zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani