Majibizano kati ya Marekani na Urusi UN
Majibizano makali yazuka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baina ya mabalozi wa Marekani na Urusi .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Hakuna mwafaka kati ya Marekani ,Urusi.
Waziri wa maswala ya kigeni wa Marekani John Kerry asema hawakukubaliana na mwenzake wa urusi Sergei Lavrov kuhusiana na Ukraine
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Urusi yaingilia kati vita ya Ukraine.
Balozi wa Marekani nchini Ukraine,Geoffrey Pyatt, amesema wanajeshi wa Urusi wanaingilia mapigano kusini mashariki mwa Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Marekani yaishutumu Urusi
Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Marekani yazikosoa sera za Urusi
Waziri wa ulinzi wa Marekani,Ashton Carter, amezikosoa sera za Urusi kwa kutoheshimu sheria za kimataifa.
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Onyo la Marekani kwa Urusi
Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ameonya Urusi kuwa ikiendelea kuchochea hali nchini Ukraine, itatengwa na jamii ya kimataifa
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Marekani na Urusi kukutana Geneva
Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry na mwenzake wa Urusi Sergey Lavrov wanatarajiwa kufanya mazungumzo
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Marekani yasusia mazungumzo na Urusi
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani,John Kerry hatakutana na Rais Vladmir Putin wa Urusi, mpaka atakaporidhia mapendekezo
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi
Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Marekani yaonya Urusi kuhusu vikwazo
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry ameitaka Urusi kupunguza ukali wa matamshi yake la sivyo iwekewe vikwazo zaidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania