Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakuna mwafaka kati ya Marekani ,Urusi.

Waziri wa maswala ya kigeni wa Marekani John Kerry asema hawakukubaliana na mwenzake wa urusi Sergei Lavrov kuhusiana na Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Majibizano kati ya Marekani na Urusi UN

Majibizano makali yazuka katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baina ya mabalozi wa Marekani na Urusi .

 

11 years ago

BBCSwahili

Cuba yatafuta mwafaka na Marekani

Cuba ina matumaini ya kurejesha uhusiano na Marekani baada ya kuwekewa vikwazo

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatafuta mwafaka Afghanistan

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry anaanza awamu ya pili ya mazungumzo nchini Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri: Hakuna ushahidi ndege ya Urusi ilidunguliwa

Misri imesema kuwa haijapata ushahidi wowote kuwa ndege ya Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 ililipuliwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yaingilia kati vita ya Ukraine.

Balozi wa Marekani nchini Ukraine,Geoffrey Pyatt, amesema wanajeshi wa Urusi wanaingilia mapigano kusini mashariki mwa Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishutumu Urusi

Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yazikosoa sera za Urusi

Waziri wa ulinzi wa Marekani,Ashton Carter, amezikosoa sera za Urusi kwa kutoheshimu sheria za kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Urusi kukutana Geneva

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry na mwenzake wa Urusi Sergey Lavrov wanatarajiwa kufanya mazungumzo

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yasusia mazungumzo na Urusi

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani,John Kerry hatakutana na Rais Vladmir Putin wa Urusi, mpaka atakaporidhia mapendekezo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani