Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yasema imefanikiwa dhidi ya IS

Mkuu wa majeshi wa Marekani amesema kampeni ya miezi mitatu dhidi ya dola ya kiislamu Islamic State imekuwa na mafanikio.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90


Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC yasema ina ushahidi dhidi ya Gbagbo

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC imesema ina ushahidi wa kutosha kumfungulia mashitaka ya uhalifu wa kivita rais wa zamani wa Ivory Coast Laurent Gbagbo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yasema imemuua Ahmed Godane

Taarifa kutoka idara ya ulinzi ya Marekani Pentagon zinasema kuwa mmoja wa wanzilishi wa Al Shabaab Ahmed Godane ameuawa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Marekani yasema Urusi inawafadhili mamluki Libya

Jeshi la Marekani limeishutumu Urusi kwa kutuma ndege za kijeshi nchini Libya kuunga mkono mamluki wa Urusi nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: WHO iliwacha mlipuko 'ukashindwa kudhibitika', yasema Marekani

Waziri wa Afya nchini Marekani Alex Azar amelishutumu shirika hilo la Afya la Umoja wa Mataifa kwa kufeli kupata data muhimu

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani

Hatari ya kupata maambukizi ya Corona jijini Dar es Salaam ni kubwa sana. Licha ya kwamba taarifa hazitolewi mara kwa mara, ubalozi wa Marekani Tanzania waeleza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani

Ujerumani imeashiria kuwa Marekani imewafanyia udukuzi viongozi wake zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya IS vyaigharimu Marekani

Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni 2.5 katika kufadhili vita dhidi ya Islamic State, kupitia kutekeleza mashambulizi ya angani nchini Iraq na Syria tangu mwezi Agosti mwaka jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani inaamini itafanikiwa dhidi ya IS

Ikulu ya Marekani imesema ina imani mkakati wa kutoa mafunzo kwa vikosi vya Iraq utafanikiwa dhidi ya Islamic State.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani