Marekani yasema imefanikiwa dhidi ya IS
Mkuu wa majeshi wa Marekani amesema kampeni ya miezi mitatu dhidi ya dola ya kiislamu Islamic State imekuwa na mafanikio.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa...
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
ICC yasema ina ushahidi dhidi ya Gbagbo
Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC imesema ina ushahidi wa kutosha kumfungulia mashitaka ya uhalifu wa kivita rais wa zamani wa Ivory Coast Laurent Gbagbo.
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Marekani yasema imemuua Ahmed Godane
Taarifa kutoka idara ya ulinzi ya Marekani Pentagon zinasema kuwa mmoja wa wanzilishi wa Al Shabaab Ahmed Godane ameuawa.
5 years ago
BBCSwahili27 May
Marekani yasema Urusi inawafadhili mamluki Libya
Jeshi la Marekani limeishutumu Urusi kwa kutuma ndege za kijeshi nchini Libya kuunga mkono mamluki wa Urusi nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: WHO iliwacha mlipuko 'ukashindwa kudhibitika', yasema Marekani
Waziri wa Afya nchini Marekani Alex Azar amelishutumu shirika hilo la Afya la Umoja wa Mataifa kwa kufeli kupata data muhimu
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani
Hatari ya kupata maambukizi ya Corona jijini Dar es Salaam ni kubwa sana. Licha ya kwamba taarifa hazitolewi mara kwa mara, ubalozi wa Marekani Tanzania waeleza.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani
Ujerumani imeashiria kuwa Marekani imewafanyia udukuzi viongozi wake zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Vita dhidi ya IS vyaigharimu Marekani
Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni 2.5 katika kufadhili vita dhidi ya Islamic State, kupitia kutekeleza mashambulizi ya angani nchini Iraq na Syria tangu mwezi Agosti mwaka jana.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Marekani inaamini itafanikiwa dhidi ya IS
Ikulu ya Marekani imesema ina imani mkakati wa kutoa mafunzo kwa vikosi vya Iraq utafanikiwa dhidi ya Islamic State.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania