Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani

Ujerumani imeashiria kuwa Marekani imewafanyia udukuzi viongozi wake zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ujerumani kuchunguza madai ya udukuzi

Ujerumani inachunguza madai yaliyotolewa na mtoro mmarekani, Edward Snowden kuwa Marekani ilifanyia udukuzi simu ya Chansela wa Ujerumani Angela Merkel.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama:Marekani kupunguza udukuzi

Rais Barack Obama ameagiza kitengo cha ujasusi nchini humo kupunguza ukusanyaji wa habari kutoka simu za raia wa nchi hiyo na wa kigeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchina yakana udukuzi nchini Marekani

Uchina imetaja kama kukosa kuwajibika kwa Marekani kudai kuwa wadukuzi wa Uchina ndio waliosababisha udukuzi wa taarifa za ofisi za serikali ya Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jaji:Udukuzi unakiuka katiba Marekani

Jaji mmoja nchini Marekani amesema kuwa udukuzi wa simu za watu unaofanywa na shirika la ujasusi la Marekani kutafuta taarifa za kijasusi ni kinyume na katiba ya nchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Scolari: tutajitahidi dhidi ya Ujerumani

FIFA imekatalia mbali ombi la Brazil la kufutilia mbali marufuku ya Thiago Silva.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani na mikakati dhidi ya Ebola

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier anasema nguvu kubwa inahitajika kutokomeza Ebola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni Argentina dhidi ya Ujerumani Fainali

Argentina imefuzu kwa fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Uholanzi 4-2 kwa penalti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bunge Ujerumani kupigia kura operesheni dhidi ya IS

Bunge nchini Ujerumani leo litapiga kura kuamua iwapo taifa hilo litasaidia katika mashambulio dhidi ya wanamgambo wa Islamic State nchini Syria.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA UJERUMANI ZAJADILIANA UHARAMIA DHIDI YA WANYAMAPORI

"Karibu" ndiyo anavyosema Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi wakati akimkaribisha mgeni wake Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Ujerumani katika Umoja wa Mataifa Balozi Harld Braun alipofika kwa mazungumzo katika Uwakilishi wa Tanzania siku ya jumatatu Januari 12, 2015.Wawakilishi hao wawili walizungumzia masuala mbalimbali yenye maslani kwa mataifa hayo mawili, na moja ya masuala hayo ni namna gani Tanzania na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani