Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujerumani kuchunguza madai ya udukuzi

Ujerumani inachunguza madai yaliyotolewa na mtoro mmarekani, Edward Snowden kuwa Marekani ilifanyia udukuzi simu ya Chansela wa Ujerumani Angela Merkel.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani

Ujerumani imeashiria kuwa Marekani imewafanyia udukuzi viongozi wake zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi waanza kuchunguza madai ya Dk Slaa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeanza kuchunguza malalamiko ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbroad Slaa ya kutaka kulishwa sumu na Mlinzi wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani yapinga madai ya Netanyahu

Ujerumani imesisitiza kwamba ndiyo inayowajibika kwa mauaji ya Wayahudi wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani yakana madai ya kutoa rushwa

Shirikisho la kandada nchini Ujerumani limekana vikali madai kuwa lilitumia rushwa ili kupata nafasi ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2006.

 

9 years ago

StarTV

Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure

Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure

Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.

Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama:Marekani kupunguza udukuzi

Rais Barack Obama ameagiza kitengo cha ujasusi nchini humo kupunguza ukusanyaji wa habari kutoka simu za raia wa nchi hiyo na wa kigeni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama atadhibiti vipi udukuzi?

Rais Barrack Obama anajiandaa kutangaza ambavyo atarudisha imani katika idara ya ujasusi nchini humo kufuatia kufichuliwa kwa taarifa za idara hiyo kufanya udukuzi

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu mashuhuri walaani udukuzi

Wiki jana taarifa za watu mashuhuri zilifichuliwa kupitia akauti zao za iCloud huku picha za kibinafsi kuchapishwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook yakiri kosa la 'udukuzi'

Facebook imekiri kuwa ilikosa kwa kuchunguzxa taarifa za watumiaji wa mtandao huo bila idhini yao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani