Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama:Marekani kupunguza udukuzi

Rais Barack Obama ameagiza kitengo cha ujasusi nchini humo kupunguza ukusanyaji wa habari kutoka simu za raia wa nchi hiyo na wa kigeni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Obama atadhibiti vipi udukuzi?

Rais Barrack Obama anajiandaa kutangaza ambavyo atarudisha imani katika idara ya ujasusi nchini humo kufuatia kufichuliwa kwa taarifa za idara hiyo kufanya udukuzi

 

10 years ago

BBCSwahili

Udukuzi wa Marekani dhidi ya Ujerumani

Ujerumani imeashiria kuwa Marekani imewafanyia udukuzi viongozi wake zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali

 

11 years ago

BBCSwahili

Jaji:Udukuzi unakiuka katiba Marekani

Jaji mmoja nchini Marekani amesema kuwa udukuzi wa simu za watu unaofanywa na shirika la ujasusi la Marekani kutafuta taarifa za kijasusi ni kinyume na katiba ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchina yakana udukuzi nchini Marekani

Uchina imetaja kama kukosa kuwajibika kwa Marekani kudai kuwa wadukuzi wa Uchina ndio waliosababisha udukuzi wa taarifa za ofisi za serikali ya Marekani.

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akiwa na Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama mara baada ya kukabidhi hati za utambumbulisho (White House). Washington DC. Mhe. Wilson Masilingi   Pamoja na Familia yake wakiwa Katika nyuso za furaha mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho  Ikulu ya Marekani(White House).  Kutoka kushoto ni Mtoto wa Balozi ndugu Nelson Masilingi, Rais wa Marekani Barack Obama, Balozi Wilson Masilingi, pamoja na Marystella Masilingi. Mke wa Balozi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na China kupunguza hewa chafu

Marekani na China zimeweka wazi nia yao ya kupunguza kiasi cha hewa chafu inayozalishwa na nchi hizo

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama na vurugu za Marekani

Rais Obama na baraza lake kujadili machafuko yanayoendelea katika miji ya Ferguson na Missouri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama kukutana na Netanyahu Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu watakutana leo kwa mara ya kwanza tangu uhusiano baina yao kudorora Julai.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama: Marekani kumaliza mgogoro Gaza

Rais wa Marekani Barak Obama amesema nchi yake inajiandaa kusaidia kumaliza mgogoro katika Gaza kati ya Israel na Hamas.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani