Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama na vurugu za Marekani

Rais Obama na baraza lake kujadili machafuko yanayoendelea katika miji ya Ferguson na Missouri.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akiwa na Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama mara baada ya kukabidhi hati za utambumbulisho (White House). Washington DC. Mhe. Wilson Masilingi   Pamoja na Familia yake wakiwa Katika nyuso za furaha mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho  Ikulu ya Marekani(White House).  Kutoka kushoto ni Mtoto wa Balozi ndugu Nelson Masilingi, Rais wa Marekani Barack Obama, Balozi Wilson Masilingi, pamoja na Marystella Masilingi. Mke wa Balozi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vurugu zazuka mji wa Baltmore Marekani

Vurugu kubwa za mapigano baina ya polisi na waandamanaji zimetokea nchini Marekani katika mji wa Boltimore, baada ya maziko ya kijana Freddie Gray ambaye alikufa kutokana kujeruhiwa alipokuwa mikononi mwa polisi.

 

10 years ago

GPL

WAANDAMANAJI WAZUA VURUGU MJINI MISSOURI, MAREKANI

Waandamanji wakifurahia jambo baada ya kuchoma maduka wakati wa vurugu hizo. Polisi wakiwa eneo la tukio kutuliza ghasia zilizotokana na waandamanaji.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?

Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama:Marekani kupunguza udukuzi

Rais Barack Obama ameagiza kitengo cha ujasusi nchini humo kupunguza ukusanyaji wa habari kutoka simu za raia wa nchi hiyo na wa kigeni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama kukutana na Netanyahu Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu watakutana leo kwa mara ya kwanza tangu uhusiano baina yao kudorora Julai.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama atetea Marekani kushambulia ISIS

Rais Obama asema ni sawa ndege za Marekani kushambulia wapiganaji wa ISIS na mashambulio zaidi yatafanywa ikihitajika

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama: Marekani kumaliza mgogoro Gaza

Rais wa Marekani Barak Obama amesema nchi yake inajiandaa kusaidia kumaliza mgogoro katika Gaza kati ya Israel na Hamas.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama awaaga marais wa Afrika Marekani

Siku tatu za mazungumzo yaliyolenga mustakabali wa bara la Afrika yamemalizika mjini Washington Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani