Obama atetea Marekani kushambulia ISIS
Rais Obama asema ni sawa ndege za Marekani kushambulia wapiganaji wa ISIS na mashambulio zaidi yatafanywa ikihitajika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Obama atetea mashambulizi dhidi ya IS Iraq
Rais Obama ametetea mashambulizi dhidi ya wanapiganaji wa kiisilamu nchini Iraq akisema yanapania kulinda maslahi ya wamerekani.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Marekani kutuma jeshi kushambulia IS
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter amesema jeshi maalum la Marekani litatumwa kwenda nchini Iraq kupambana na wapiganaji wa Islamic State katika nchi za Iraq na Syria.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Marekani kushambulia IS mjini Tikrit
Rais wa Iraq Fouad Massoum ametoa ishara kwamba jeshi linaloongozwa na Marekani huenda likawashambulia wapiganaji wa IS Tikrit.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCAXpOYH-RyBMwo77IAWjdJ6*McTBevDHudbBlalyHEGelbKvJJonFFHsK9I*MURD1C*DQffKKJbiwnV1qnn1joM/MATEKA.jpg)
WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI
Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS. SAA chache baada ya kuuwa wanajeshi 300 wa Syria, Kundi la wapiganaji wa ISIS limetoa onyo lingine kwa Marekani likiachia video inayowaonyesha mateka 15 wa Kikurd ambao nao watauawa iwapo Marekani haitaondoa majeshi yake. ISIS wamesema wataendelea kuwachinja mateka hao mpaka Marekani itakapoondoa majeshi yake. Katika video hiyo, Kundi la ISIS linaonekana… ...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-v2thuvwTIlQ/Vf3rRl_u1XI/AAAAAAAAAts/dmnxWYz94M0/s72-c/Tanzania.jpg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-v2thuvwTIlQ/Vf3rRl_u1XI/AAAAAAAAAts/dmnxWYz94M0/s640/Tanzania.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFbv4P7DCI4/Vf3rUEbJ0QI/AAAAAAAAAt0/jmcpYihqChY/s640/Tanzania%2Bfamily.jpg)
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Obama na vurugu za Marekani
Rais Obama na baraza lake kujadili machafuko yanayoendelea katika miji ya Ferguson na Missouri.
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Obama:Marekani kupunguza udukuzi
Rais Barack Obama ameagiza kitengo cha ujasusi nchini humo kupunguza ukusanyaji wa habari kutoka simu za raia wa nchi hiyo na wa kigeni.
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Obama kukutana na Netanyahu Marekani
Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu watakutana leo kwa mara ya kwanza tangu uhusiano baina yao kudorora Julai.
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Papa awasili Marekani apokewa na Obama
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewasili nchini Marekani katika siku ya kwanza ya ziara ya kihistoria nchini humo ambapo amelakiwa na Rais wa nchi hiyo Barack Obama.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10