Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kutuma jeshi kushambulia IS

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter amesema jeshi maalum la Marekani litatumwa kwenda nchini Iraq kupambana na wapiganaji wa Islamic State katika nchi za Iraq na Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kushambulia IS mjini Tikrit

Rais wa Iraq Fouad Massoum ametoa ishara kwamba jeshi linaloongozwa na Marekani huenda likawashambulia wapiganaji wa IS Tikrit.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama atetea Marekani kushambulia ISIS

Rais Obama asema ni sawa ndege za Marekani kushambulia wapiganaji wa ISIS na mashambulio zaidi yatafanywa ikihitajika

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama kutuma jeshi kukuabili Ebola Liberia

Rais Obama atarajiwa kutangaza mikakati ya kuwatuma wanajeshi 3000 Liberia kukabili ebola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma vikosi maalum Syria

Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yakiri kutuma kimeta zaidi

Maofisa wa ulinzi nchini marekani wamekiri kuwa maabara kadhaa zilizopokea kimakosa sampuli hai za vidudu hatari vya kimeta ni zaidi ya mara mbili ya matarajio ya awali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma mjumbe Sudan Kusini

Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema atatuma mjumbe maalum nchini Sudan Kusini Bwana Donald Booth.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini imetishia kutuma jeshi eneo salama la mpakani

Dada ya kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini ameagiza jeshi - ambalo nalo limejibu kuwa liko tayai kuchukua hatua.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?

Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani