Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yakiri kutuma kimeta zaidi

Maofisa wa ulinzi nchini marekani wamekiri kuwa maabara kadhaa zilizopokea kimakosa sampuli hai za vidudu hatari vya kimeta ni zaidi ya mara mbili ya matarajio ya awali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kufanya uchunguzi wa kimeta

Idara ya ulinzi nchini Marekani imeamrisha kufanyika uchunguzi mkubwa kuhusu jinsi mahabara zake zinashughulikia kimeta.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:Jeshi latuma Kimeta kimakosa

Maabara moja ya kijeshi huko Utah imetuma zana hatari za kibayolojia za kimeta kwa kambi 9 za kijeshi na Korea Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yakiri kuua raia

Marekani imekiri, kwa mara ya kwanza kuhusika na mapigano ya anga dhidi ya kikosi cha kiislamu yaliyopelekea baadhi ya raia kuuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma jeshi kushambulia IS

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter amesema jeshi maalum la Marekani litatumwa kwenda nchini Iraq kupambana na wapiganaji wa Islamic State katika nchi za Iraq na Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma vikosi maalum Syria

Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma mjumbe Sudan Kusini

Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema atatuma mjumbe maalum nchini Sudan Kusini Bwana Donald Booth.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uganda kutuma wanajeshi zaidi Somalia

Askari zaidi wa Uganda wanatarajiwa kwenda mjini Mogadishu Somalia kuimarisha zaidi usalama katika ofisi za Umoja wa Mataifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani