Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kutuma vikosi maalum Syria

Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vikosi vya Syria vyalaumiwa kwa uhalifu

Amnesty International limevilaumu vikosi vya serikali ya Syria kwa kutekeleza uhalifu wa kivita kila siku kwenye mji wa Allepo

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yapeleka vikosi Cameroon

Rais wa Marekani, Barack Obama ametangaza kuwa vikosi vya marekani vyenye silaha vimepelekwa Cameroon

 

11 years ago

Mwananchi

Vikosi vya Marekani vyawasili Uganda kumsaka Kony

Vikosi vya Marekani kwa ajili ya kumkabili kiongozi wa kundi la Lord Resistance Army (LRA) Joseph Kony vimewasili nchini Uganda huku vikiwa na vifaa vya kisasa zikiwamo ndege zenye uwezo wa kujaza mafuta angani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma jeshi kushambulia IS

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter amesema jeshi maalum la Marekani litatumwa kwenda nchini Iraq kupambana na wapiganaji wa Islamic State katika nchi za Iraq na Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yakiri kutuma kimeta zaidi

Maofisa wa ulinzi nchini marekani wamekiri kuwa maabara kadhaa zilizopokea kimakosa sampuli hai za vidudu hatari vya kimeta ni zaidi ya mara mbili ya matarajio ya awali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma mjumbe Sudan Kusini

Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema atatuma mjumbe maalum nchini Sudan Kusini Bwana Donald Booth.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?

Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani 'inaifungia mlango' Syria

Marekani imeiwekea vikwazo benki ya Urusi inayofanya biashara na Syria kuzidisha shinikizo za kiuchumi dhidi ya serikali ya Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani