Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yapeleka vikosi Cameroon

Rais wa Marekani, Barack Obama ametangaza kuwa vikosi vya marekani vyenye silaha vimepelekwa Cameroon

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma vikosi maalum Syria

Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria

 

11 years ago

Mwananchi

Vikosi vya Marekani vyawasili Uganda kumsaka Kony

Vikosi vya Marekani kwa ajili ya kumkabili kiongozi wa kundi la Lord Resistance Army (LRA) Joseph Kony vimewasili nchini Uganda huku vikiwa na vifaa vya kisasa zikiwamo ndege zenye uwezo wa kujaza mafuta angani.

 

10 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI WA MISS TANZANIA USA MA WINNY CASEY ATAMBULISHWA KWA BALOZI WA CAMEROON NCHINI MAREKANI

Mkurugenzi wa Miss Africa USA na Miss Cameroon Lady Kate akipata picha ya pamoja na mkurugenzi wa Miss Tanzania USA Ma Winny Casey (kulia) siku Lady Kate alipomtambulisha Ma Winny Casey kwa Balozi wa Cameroon nchini Marekami kwenye hafla ndogo iliyofanyika nyumbani kwa Mhe.Jpseph B. C. Foe AtanganaMkurugenzi wa Miss Africa USA na Miss Cameroon Lady Kate akiongea machache kwenye hafla hiyo.Walimbende wa Miss USA Pageant wakimsikiliza mmoja wa waratibu wa mashindano hayo.
H.E. Joseph B. C. Foe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunderland FC yapeleka neema Tanzania

Rais Jakaya Kikwete amezindua ujenzi wa kituo cha vijana cha michezoambacho kimefadhiliwa na Sunderlland na Symbion.

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yapeleka Sh bil 18 za elimu

simbachaweneNA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

SERIKALI imepanga kupeleka Sh bilioni 18.77 kila mwezi kwa ajili ya kugharimia elimu bure kuanzia Januari, mwakani.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene alisema fedha hizo zitapelekwa kwa awamu ili zitumike kama ilivyokusudiwa.

Alisema katika mpango huo, Serikali itagharimia gharama zote za  mtihani wa kidato cha nne kwa wanafunzi wote, tofauti na...

 

11 years ago

Michuzi

NSSF YAPELEKA VETERANI TANGA

Mshambuliaji wa timu ya Kombaini ya Tanga, Kassim Jumaa (kushoto), akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Survey veterani, Ahmad Rasuli (katikati), wakati wa mchezo maalum wa kusherehekea Sikukuu ya Wakulima Nanenane uliofanyika kwenye viwanja vya Disuza mjini Tanga. Mchezo huo ulidhaminiwa na NSSF. Kulia ni Amir Athuman wa Kombaini ya Tanga.

Na Elizabeth Kilindi, TangaTimu ya Survey Veterani ya jijini Dar es salamu imeifunga timu ya Kombaini vijana  Veterani ya Jiji la Tanga 2-1 katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yapeleka kiwewe CCM

KWA siku 12 za Operesheni M4C Pamoja Daima, Chama cha Dekomrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekitia kiwewe Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho sasa kimelazimika kurejesha wabunge wake mikoani ili kujinusuru kutokana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:TZ yapeleka wauguzi S.Leone

Serikali ya Tanzania imepeleka wataalam wa afya nchini Sierra Leone na Liberia kwa ajili ya kuongeza nguvu vita dhidi ya Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yapeleka maafisa wake nchini Burundi

Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeunga mkono mpango wa kutuma maafisa wake wa ngazi ya juu nchini Burundi kuokoa jahazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani