Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korea Kaskazini imetishia kutuma jeshi eneo salama la mpakani

Dada ya kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini ameagiza jeshi - ambalo nalo limejibu kuwa liko tayai kuchukua hatua.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un: Kutoweka kwake, siasa ya kimataifa, malengo yake na jeshi la Korea Kaskazini

Katika siku za hivi karubuni kiongozi huyo wa Korea kaskzini alitoweka katika maeneo ya umma kwa siku 20 na kukosa sherehe za kuadhimisha siku ya kuzaliwa ya babu yake - ikiwa ni sherehe kubwa mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea kupunguza hali ya wasiwasi mpakani

Korea kaskazini na Kusini zimefikia makubaliano ya kupunguza hali ya wasiwasi iliyopo mpakani mwa nchi hizo mbili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini kufikishwa ICC?

Baraza la umoja wa mataifa la haki za binadamu limesema Korea Kaskazini inastahili kufikishwa icc.

 

10 years ago

BBCSwahili

Magereza ya Korea Kaskazini yanatisha

Ripoti ya UN imeeleza kwamba mfumo wa magereza Korea Kaskazini ni wa kuangamiza, kuua, kuwageuza wafungwa kuwa watumwa, ulio na unyanyasaji, ubakaji na uavyaji wa lazima wa mimba.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kuzindua dhulma za Korea Kaskazini

Umoja wa mataifa, unatarajiwa kuzindua ripoti maalum kuhusiana na dhulma za haki za binadamu zinazotekelezwa Korea Kaskazini.

 

10 years ago

Vijimambo

KOREA KASKAZINI YAMTUSI OBAMA



Rais Barrack Obama wa marekani amefananishwa na tumbili wa msitu wa TropikiKorea kaskazini imeilaumu Marekani kutokana na mataizo ya mtandao ambayo yameikumba siku chache zilizopita.Tume ya taifa ya ulinzi nchini Korea Kaskazini inasema kuwa Marekani inavuruga mifumo ya mitandao ya nchi hiyo huku ikimfananishi rais wa marekani Barack obama na tumbili wa misitu ya tropiki mbali na kumshutumu kwa kuhusika katika kuonyeshwa ka filamu yenye utata inayojulikana kama The Interview.Filamu ya the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani