Ujerumani yakana madai ya kutoa rushwa
Shirikisho la kandada nchini Ujerumani limekana vikali madai kuwa lilitumia rushwa ili kupata nafasi ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2006.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Marekani yakana madai ya IS
Katika taarifa ya IS, mwanamke huyo alikuwa peke yake wakati ndege za Jordan ziliposhambulia nyumba moja nje ya mji wa Raqqa.
11 years ago
Mwananchi01 May
Yanga yakana madai ya TFF
Mkurugenzi wa Fedha wa Yanga, Dennis Oundo amesema alichukua fedha Sh15 milioni kwa mawakala wa kuuza tiketi wakati wa mechi dhidi ya Simba kwa utaratibu na wala hakupora kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
5 years ago
Ykileo![](https://3.bp.blogspot.com/-neqnnTtxRf8/WpqVYl5eMjI/AAAAAAAACLk/art_jaRhjucjz1nL_gyZYItAQElci4c1gCLcBGAs/s72-c/1231.jpg)
URUSI YAKANA KUISHAMBULIA KIMTANDAO UJERUMANI
![](https://3.bp.blogspot.com/-neqnnTtxRf8/WpqVYl5eMjI/AAAAAAAACLk/art_jaRhjucjz1nL_gyZYItAQElci4c1gCLcBGAs/s640/1231.jpg)
KWA UFUPI: Mifumo ya kimtandao katika baadhi ya wizara za serikali ya Ujerumani ilikumbwa na udukuzi uliopelekea kuibiwa kwa taarifa kadhaa huku baadhi ya vyombo vya habari vimeishutumu Urusi dhidi ya shambulizi hilo la kimtandao. Nae waziri wa Ujerumani wa maswala ya uchumi akieleza hawana uhakika kua Urusi imehusika na shambulizi hilo. Aidha, Urusi imekana kuhusika na shambulizi hilo.------------------------------------------
Mataifa makubwa yenye uwezo wa kimtandao yamekua yakishutumiana...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E9bWH5WByuk/VbcjO-PyQ4I/AAAAAAAHsI8/SGCABMyBU9A/s72-c/Mahakama.jpg)
MAHAKAMA YAKANA KUWEPO KWA RUSHWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-E9bWH5WByuk/VbcjO-PyQ4I/AAAAAAAHsI8/SGCABMyBU9A/s640/Mahakama.jpg)
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imewataka wananchi wenye malalamiko kuhusu vitendo vya rushwa mahakamani kutoa ushirikiano ili kuweza kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo.
Hayo yalisemwa katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Afisa Habari Mary Gwera wa Mahakama hiyo kufuatia gazeti moja la hapa nchini la Julai 21 mwaka huu kupitia makala yenye kichwa cha habari “Mtandao wa rushwa Mahakamani huu hapa” .
Taarifa hiyo imeeleza kuwa, baada ya...
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Afrika Kusini yakana kutoa hongo kwa FIFA
Afrika kusini imekana kwa mara nyengine tena kwamba ilitoa hongo ili kupewa maandalizi ya kombe la dunia la mwaka 2010.
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Ujerumani yapinga madai ya Netanyahu
Ujerumani imesisitiza kwamba ndiyo inayowajibika kwa mauaji ya Wayahudi wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Ujerumani kuchunguza madai ya udukuzi
Ujerumani inachunguza madai yaliyotolewa na mtoro mmarekani, Edward Snowden kuwa Marekani ilifanyia udukuzi simu ya Chansela wa Ujerumani Angela Merkel.
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Madai ya rushwa Qatar: Najihisi kuonewa
Mfichua siri za tuhuma za rushwa kutolewa na Qatar anasema anajihisi kuonewa kila wakati na kujaa hofu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOTsdVStqjLCn5EPLc21iTIGOrrQ*lV9f28GlG5JdKuYoy9sbRdpMhDAeZuDthPqZGdl8pr9PuHdRxxoyiUwmBad/maya.jpg?width=650)
MAYA ASAKAMWA MADAI YA RUSHWA, AONGEA
Na Mwandishi Wetu
BAADA ya kuzagaa kwa habari kuwa viongozi wa kamati ya uchaguzi wa Klabu ya Bongo Movie wamebwia rushwa, Mayasa Mrisho ‘Maya’ ameibuka na kukanusha taarifa hizo. Mayasa Mrisho ‘Maya’. Mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi huo uliofanyika Jumamosi iliyopita katika Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar na kumtangaza Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ kushinda nafasi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania