Yanga yakana madai ya TFF
Mkurugenzi wa Fedha wa Yanga, Dennis Oundo amesema alichukua fedha Sh15 milioni kwa mawakala wa kuuza tiketi wakati wa mechi dhidi ya Simba kwa utaratibu na wala hakupora kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Marekani yakana madai ya IS
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Ujerumani yakana madai ya kutoa rushwa
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Yanga watoa kali madai ya uwanja wake
10 years ago
Mwananchi17 Sep
TFF yaigwaya Yanga
11 years ago
Mwananchi27 Jul
TFF yaishangaa Yanga
10 years ago
Mwananchi31 Aug
TFF yaivimbia Yanga
10 years ago
Vijimambo29 Mar
YANGA YAIKOMALIA TFF
![](http://static.goal.com/1008200/1008222_heroa.jpg)
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3 ambayo imerekebishwa Februari 8 2015 ikimruhusu mchezaji kuchagua mechi za kucheza ikiwa anatumikia kadi tatu za njano mfululizo .Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameiambia Goal kuwa...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
TFF yatekeleza maagizo ya Yanga
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2598466/highRes/927882/-/maxw/600/-/kqt1up/-/Yanga.jpg)
Katika kile kinachoonekana kama kuendeshwa na Yanga, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemfungia refa Mohamed Teofile kuchezesha mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu.
Jana mchana NIPASHE ilipata taarifa kutoka ndani ya TFF zikieleza kuwa refa huyo ameondolewa katika ratiba ya waamuzi wa msimu huu, taarifa ambazo baadaye...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Yanga wawasilisha katiba TFF
BAADA ya wanachama wa Yanga kupitisha mabadiliko kwenye katiba yao Juni Mosi, uongozi wao umeyawasilisha rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ili iweze kupitiwa na kwenda kwa msajili. Katika...