Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF yaishangaa Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeshangazwa na madai ya klabu ya Yanga kwamba mpaka sasa haijapata mwaliko rasmi wa kushiriki Michuano ya Kagame na limeionya iache kutafuta visingizio.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Polisi yaishangaa Chadema

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limekanusha taarifa za kutekwa kwa msafara wa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wanachama wake wa Kanda ya Ziwa. Jeshi hilo limesisitiza hakuna tukio hilo na kuwa ni uzushi.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yaigwaya Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limebariki mwenyekiti ya Yanga, Yusuf Manji kuongezewa muda baada ya kushindwa kulifikisha suala la katiba ya klabu hiyo kwa Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yaivimbia Yanga

 Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji kulipa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) siku saba kumaliza suala la mshambuliaji wao Emmanuel Okwi aliyejiunga Simba, Shirikisho hilo limesema Yanga wasiwaamrishe kwani wanafanya kazi kwa mujibu wa katiba na kanuni zao.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YAIKOMALIA TFF

Yanga yaikomalia TFF
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3 ambayo imerekebishwa Februari 8 2015 ikimruhusu mchezaji kuchagua mechi za kucheza ikiwa anatumikia kadi tatu za njano mfululizo .Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameiambia Goal kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yaiweka Yanga mtegoni

Yanga ipo kwenye hatari  ya kuondolewa  kwenye Ligi Kuu iwapo uongozi  wake utashindwa kuwasilisha muhtasari wa kikao cha  mabadiliko ya katiba ya klabu hiyo ndani ya siku saba.

 

10 years ago

Mwananchi

Rungu la TFF laishukia Yanga

Yanga imeangushiwa rungu zito na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kutakiwa ilipe Sh 2 milioni, zikiwa adhabu zinatokana na makosa mbalimbali ya utovu wa nidhamu kwenye baadhi ya mechi za Ligi Kuu.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yashikilia uchaguzi Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeshikilia hatima ya uchaguzi wa Yanga ambao awali ulipangwa kufanyika Juni 15 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yaitishia nyau TFF

Yanga imetingisha kiberiti kwa kujaribu kuwazuia wachezaji wake waliochaguliwa kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yaikalia kooni Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)limesema kuwa litaichukulia hatua za kinidhamu Yanga iwapo itabainika kuwa ilivunja kanuni za Ligi Kuu katika michezo yake miwili iliyopita dhidi ya Simba na Stand United.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani