Rungu la TFF laishukia Yanga
Yanga imeangushiwa rungu zito na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kutakiwa ilipe Sh 2 milioni, zikiwa adhabu zinatokana na makosa mbalimbali ya utovu wa nidhamu kwenye baadhi ya mechi za Ligi Kuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Jeshi la Yanga SC laishukia Platinum
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanashuka uwanjani leo kuikabili Platinum ya Zimbabwe katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Rungu la TRA lageukia Simba, Yanga
‘Ukiona mwenzako akinyolewa, nawe tia maji,’ hicho ndicho kinachofuata kwa klabu kongwe za soka nchini, Simba na Yanga baada ya Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kugeukia akaunti zao kutokana na wao kudaiwa pia.
11 years ago
Mwananchi27 Jul
TFF yaishangaa Yanga
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeshangazwa na madai ya klabu ya Yanga kwamba mpaka sasa haijapata mwaliko rasmi wa kushiriki Michuano ya Kagame na limeionya iache kutafuta visingizio.
10 years ago
Vijimambo29 Mar
YANGA YAIKOMALIA TFF

KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3 ambayo imerekebishwa Februari 8 2015 ikimruhusu mchezaji kuchagua mechi za kucheza ikiwa anatumikia kadi tatu za njano mfululizo .Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameiambia Goal kuwa...
11 years ago
Mwananchi17 Sep
TFF yaigwaya Yanga
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limebariki mwenyekiti ya Yanga, Yusuf Manji kuongezewa muda baada ya kushindwa kulifikisha suala la katiba ya klabu hiyo kwa Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji.
11 years ago
Mwananchi31 Aug
TFF yaivimbia Yanga
 Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji kulipa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) siku saba kumaliza suala la mshambuliaji wao Emmanuel Okwi aliyejiunga Simba, Shirikisho hilo limesema Yanga wasiwaamrishe kwani wanafanya kazi kwa mujibu wa katiba na kanuni zao.
11 years ago
Mwananchi01 May
Yanga yakana madai ya TFF
Mkurugenzi wa Fedha wa Yanga, Dennis Oundo amesema alichukua fedha Sh15 milioni kwa mawakala wa kuuza tiketi wakati wa mechi dhidi ya Simba kwa utaratibu na wala hakupora kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
11 years ago
Mwananchi20 Aug
TFF yaiweka Yanga mtegoni
Yanga ipo kwenye hatari ya kuondolewa kwenye Ligi Kuu iwapo uongozi wake utashindwa kuwasilisha muhtasari wa kikao cha mabadiliko ya katiba ya klabu hiyo ndani ya siku saba.
10 years ago
Vijimambo23 Jan
TFF yatekeleza maagizo ya Yanga
Yamfungia refa aliyeachia Tambwe akabwe koo
Wachezaji wa Ruvu Shooting na Yanga wakigombana wakati wa mchezo uliozikutanisha timu hizo mwishoni mwa wiki.
Katika kile kinachoonekana kama kuendeshwa na Yanga, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemfungia refa Mohamed Teofile kuchezesha mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu.
Jana mchana NIPASHE ilipata taarifa kutoka ndani ya TFF zikieleza kuwa refa huyo ameondolewa katika ratiba ya waamuzi wa msimu huu, taarifa ambazo baadaye...

Katika kile kinachoonekana kama kuendeshwa na Yanga, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemfungia refa Mohamed Teofile kuchezesha mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu.
Jana mchana NIPASHE ilipata taarifa kutoka ndani ya TFF zikieleza kuwa refa huyo ameondolewa katika ratiba ya waamuzi wa msimu huu, taarifa ambazo baadaye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania