TFF yatekeleza maagizo ya Yanga
Yamfungia refa aliyeachia Tambwe akabwe kooWachezaji wa Ruvu Shooting na Yanga wakigombana wakati wa mchezo uliozikutanisha timu hizo mwishoni mwa wiki.
Katika kile kinachoonekana kama kuendeshwa na Yanga, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemfungia refa Mohamed Teofile kuchezesha mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu huu.
Jana mchana NIPASHE ilipata taarifa kutoka ndani ya TFF zikieleza kuwa refa huyo ameondolewa katika ratiba ya waamuzi wa msimu huu, taarifa ambazo baadaye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Sep
TFF yaigwaya Yanga
11 years ago
Mwananchi31 Aug
TFF yaivimbia Yanga
10 years ago
Vijimambo29 Mar
YANGA YAIKOMALIA TFF

KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3 ambayo imerekebishwa Februari 8 2015 ikimruhusu mchezaji kuchagua mechi za kucheza ikiwa anatumikia kadi tatu za njano mfululizo .Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameiambia Goal kuwa...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
TFF yaishangaa Yanga
10 years ago
Mwananchi15 Jun
TFF yazitega Yanga, Simba
11 years ago
Mwananchi04 May
TFF yashikilia uchaguzi Yanga
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Rungu la TFF laishukia Yanga
11 years ago
Mwananchi20 Aug
TFF yaiweka Yanga mtegoni
11 years ago
Mwananchi01 May
Yanga yakana madai ya TFF