TFF yaivimbia Yanga
 Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji kulipa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) siku saba kumaliza suala la mshambuliaji wao Emmanuel Okwi aliyejiunga Simba, Shirikisho hilo limesema Yanga wasiwaamrishe kwani wanafanya kazi kwa mujibu wa katiba na kanuni zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Sep
TFF yaigwaya Yanga
11 years ago
Mwananchi27 Jul
TFF yaishangaa Yanga
10 years ago
Vijimambo29 Mar
YANGA YAIKOMALIA TFF
![](http://static.goal.com/1008200/1008222_heroa.jpg)
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3 ambayo imerekebishwa Februari 8 2015 ikimruhusu mchezaji kuchagua mechi za kucheza ikiwa anatumikia kadi tatu za njano mfululizo .Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameiambia Goal kuwa...
11 years ago
Mwananchi01 May
Yanga yakana madai ya TFF
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Yanga wawasilisha katiba TFF
BAADA ya wanachama wa Yanga kupitisha mabadiliko kwenye katiba yao Juni Mosi, uongozi wao umeyawasilisha rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ili iweze kupitiwa na kwenda kwa msajili. Katika...
10 years ago
Mwananchi31 Oct
TFF yaikalia kooni Yanga
10 years ago
Mwananchi12 May
Yanga yaitishia nyau TFF
10 years ago
Mwananchi15 Jun
TFF yazitega Yanga, Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKhU*iY06q-rSZ*wo2eDJ2IxcCdbJEks3gXkEPXxzTZOSvlebrwMNvJwZLLlH1wJEKEcLHC7glEB3YgsinMmkchP/11111yqnga.jpg?width=650)
Yanga yaipa masharti 5 TFF