Yanga yaitishia nyau TFF
Yanga imetingisha kiberiti kwa kujaribu kuwazuia wachezaji wake waliochaguliwa kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Sep
Yanga yaitishia nyau Simba
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga jana waliendelea kutoa dozi katika ligi hiyo baada ya kuwafunga maafande wa JKT Ruvu kwa mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Niyonzima aitishia nyau Yanga
Kiungo Haruna Niyonzima ameipa Yanga siku nne kubadili uamuzi wa kumfukuza na baada ya hapo ataanika ukweli wa mgogoro wake na klabu hiyo.
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Stand, Prisons wazitishia nyau Yanga, Simba
Makocha, Emmanuel Massawe wa Stand United na David Mwamaja wa Tanzania Prisons wamesema hawana presha na mechi watakazocheza Jumamosi dhidi ya Yanga na Simba.
10 years ago
Mwananchi17 Sep
TFF yaigwaya Yanga
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limebariki mwenyekiti ya Yanga, Yusuf Manji kuongezewa muda baada ya kushindwa kulifikisha suala la katiba ya klabu hiyo kwa Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
TFF yaivimbia Yanga
 Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji kulipa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) siku saba kumaliza suala la mshambuliaji wao Emmanuel Okwi aliyejiunga Simba, Shirikisho hilo limesema Yanga wasiwaamrishe kwani wanafanya kazi kwa mujibu wa katiba na kanuni zao.
10 years ago
Vijimambo29 Mar
YANGA YAIKOMALIA TFF
![](http://static.goal.com/1008200/1008222_heroa.jpg)
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3
KLABU ya Yanga bado imeendelea kulikalia kooni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF juu ya mabadiliko ya kanuni ya 37 ibara ya 3 ambayo imerekebishwa Februari 8 2015 ikimruhusu mchezaji kuchagua mechi za kucheza ikiwa anatumikia kadi tatu za njano mfululizo .Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameiambia Goal kuwa...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
TFF yaishangaa Yanga
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeshangazwa na madai ya klabu ya Yanga kwamba mpaka sasa haijapata mwaliko rasmi wa kushiriki Michuano ya Kagame na limeionya iache kutafuta visingizio.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKhU*iY06q-rSZ*wo2eDJ2IxcCdbJEks3gXkEPXxzTZOSvlebrwMNvJwZLLlH1wJEKEcLHC7glEB3YgsinMmkchP/11111yqnga.jpg?width=650)
Yanga yaipa masharti 5 TFF
Wachezaji wa Yanga. Nicodemus Jonas,
Dar es SalaamKAMA ulidhani walikuwa wanatania, ndiyo ufahamu kuwa jamaa walikuwa ‘serious’! Siku chache baada ya uongozi wa Yanga kuhoji kuhusu kanuni iliyompitisha straika wa Simba, Ibrahim Ajibu kucheza kwenye mchezo wa Prisons wakati akiwa ana kadi tatu za njano, uongozi huo umekwenda mbali na kuilima Shirikisho la Soka nchini (TFF) barua ya masharti matano kuhusu maamuzi...
11 years ago
Mwananchi01 May
Yanga yakana madai ya TFF
Mkurugenzi wa Fedha wa Yanga, Dennis Oundo amesema alichukua fedha Sh15 milioni kwa mawakala wa kuuza tiketi wakati wa mechi dhidi ya Simba kwa utaratibu na wala hakupora kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania