Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


URUSI YAKANA KUISHAMBULIA KIMTANDAO UJERUMANI



KWA UFUPI: Mifumo ya kimtandao katika baadhi ya wizara za serikali ya Ujerumani ilikumbwa na udukuzi uliopelekea kuibiwa kwa taarifa kadhaa huku baadhi ya vyombo vya habari vimeishutumu Urusi dhidi ya shambulizi hilo la kimtandao. Nae waziri wa Ujerumani wa maswala ya uchumi akieleza hawana uhakika kua Urusi imehusika na shambulizi hilo. Aidha, Urusi  imekana kuhusika na shambulizi hilo.

------------------------------------------


Mataifa makubwa yenye uwezo wa kimtandao yamekua yakishutumiana...





Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani yakana madai ya kutoa rushwa

Shirikisho la kandada nchini Ujerumani limekana vikali madai kuwa lilitumia rushwa ili kupata nafasi ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2006.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yazidi kuishambulia Gaza

Wapalestina zaidi ya 200 wauawa katika mashambulio zaidi ya Israel dhidi ya Gaza,mapendekezo ya kusitisha mapigano yakitibuka

 

10 years ago

Habarileo

“ Uhalifu wa kimtandao unaendelea kudhibitiwa”

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal.SERIKALI imesema itaendelea kusimamia na kuhakikisha inawalinda wananchi wake kutokana na mashambulio na uhalifu wa kimtandao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kendelea kuishambulia Iraq

Marekani imeendeleza mashambulizi ya anga kaskazini mwa Iraq kwa lengo la kuwasaidia Wakrud katika mji wa Erbil dhidi ya wapiganaji wa kiislam wa kundi Jihad.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhalifu wa kimtandao waitesa Polisi

 Polisi nchini wamekiri kuzidiwa ujanja na wahalifu baada ya kubadili mbinu katika kufanya uhalifu huo pamoja na kuongezeka kwa makosa makubwa na madogo yanayofanywa kwa njia ya mtandao.

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za Al-Shabaab kuishambulia Kenya

Eneo la Afrika Mashariki liko katika taharuki kubwa kutokana na tetesi za kuwepo uwezekano wa kufanyika mashambulizi zaidi kutoka kwa kundi la Al Shabaab ambalo tayari limeleta maafa makubwa kwa wananchi wa Kenya. 

 

11 years ago

BBCSwahili

Israeli haitasita kuishambulia Gaza

Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ameonya nchi yake haitasita kuvamia Gaza hata baada ya operesheni hii kukamilika

 

11 years ago

Mwananchi

CUF yalaani Israel kuishambulia Gaza

Chama cha Wananchi (CUF) kimelaani mashambulizi ya kivita yanayoendelea kufanywa na Israeli dhidi ya Wapalestina katika eneo la ukanda wa Gaza.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM ‘kuishambulia’ Ukawa kwa siku 26

Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaanza ziara ya siku 26 katika Mikoa mitatu ya Tabora, Singida na Manyara kukagua uhai wa chama na maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa baadaye mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani