Uhalifu wa kimtandao waitesa Polisi
 Polisi nchini wamekiri kuzidiwa ujanja na wahalifu baada ya kubadili mbinu katika kufanya uhalifu huo pamoja na kuongezeka kwa makosa makubwa na madogo yanayofanywa kwa njia ya mtandao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 May
“ Uhalifu wa kimtandao unaendelea kudhibitiwa”
SERIKALI imesema itaendelea kusimamia na kuhakikisha inawalinda wananchi wake kutokana na mashambulio na uhalifu wa kimtandao.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Teknolojia na uhalifu Wizi wa kimtandao unavyoshamiri duniani
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Polisi: Uhalifu umepungua Tanga
MAKOSA dhidi ya uhalifu wa kibinadamu katika Jiji la Tanga yamepungua kwa asilimia 2.64 kwani kwa mwaka 2012 yaliripotiwa matukio 492 ukilinganisha na mwaka 2013 ambapo yalikuwa 479. Akizungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Kitunda, polisi kupambana na uhalifu
KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Kitunda Gold Mining, iliyopo Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, imeahidi kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na vitendo vya kihalifu kwenye msitu wa Kitunda...
5 years ago
MichuziPolisi Mpwapwa Wapongezwa Uhalifu kupungua
Na Mwandishi Wetu, Mpwapwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameupongeza...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Polisi yajivunia kupungua uhalifu Rukwa
MATUKIO ya mauaji ya kikatili yanayosababishwa na imani za kishirikina mkoani Rukwa yamepungua hadi kufikia matukio 30 kwa kipindi cha mwaka jana ukilinganisha na matukio 37 yaliyoripotiwa mwaka 2012. Kwa...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Polisi kukabili uhalifu mwaka mpya
JESHI la Polisi limesema katika siku ya Sikukuu ya Mwaka mpya imejipanga katika mikoa yote nchini kuhakikisha vitendo vyote vya uhalifu vinadhibitiwa.
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Polisi kutumia “Whatsapp†kudhibiti uhalifu
Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha (ACP) Edward Balele akifungua kikao kati ya Jeshi hilo na Taasisi za ulinzi kujadili mustakabali wa usalama ndani ya mkoa huu. Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa Bwalo la Polisi Jijini hapa (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha).
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya KK kanda ya Kaskazini Claude Herssens akichangia mada katika kikao kilichoandaliwa na Jeshi la Polisi Mkoani hapa na kuziusisha taasisi mbalimbali za ulinzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MJlRoZLzYVI/XtoVUxc98NI/AAAAAAALsrg/gRbPFfjjYK40ipG9oulZN4vx-d-7HJatwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2BNo.1.jpg)
Polisi Arusha wapongezwa kupunguza matukio ya uhalifu
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amelipongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kufanikiwa kupunguza na kudhibiti matukio ya uhalifu hali ambayo imepelekea shughuli za kiuchumi kufanyika kwa amani hasa utalii.
Alitoa pongezi hizo wakati akifungua kikao kazi kilichohusisha Maafisa wa Polisi pamoja na Polisi Kata 157 toka kata zote za Mkoa wa Arusha ambacho kilikua na lengo la kukumbushana wajibu wa Polisi Kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
Amesema...