Polisi: Uhalifu umepungua Tanga
MAKOSA dhidi ya uhalifu wa kibinadamu katika Jiji la Tanga yamepungua kwa asilimia 2.64 kwani kwa mwaka 2012 yaliripotiwa matukio 492 ukilinganisha na mwaka 2013 ambapo yalikuwa 479. Akizungumza na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Feb
UHALIFU TANGA: Polisi: Hatujakamata mtu Tanga
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Said-17Feb2015.jpg)
Jeshi la Polisi nchini, limesema majambazi waliokuwa wamejificha katika mapango ya Amboni nje kidogo ya jiji la Tanga wamekimbia.
Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa jeshi hilo, Kamishna Paul Chagonja, akizungumza jana katika mahojiano na Radio One katika kipindi cha Kumepambazuka, alisema majambazi hao wamekimbia baada ya kuzidiwa nguvu na askari wa jeshi lake wanaoshirikiana na Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Hata hivyo, alisema vyombo...
10 years ago
Habarileo04 Feb
Wabunge waambiwa uhalifu Zanzibar umepungua
MATUKIO ya uhalifu Zanzibar yamepungua kutoka matukio 10 kwa mwaka hadi kufikia matatu au manne kutokana na kudhibiti maeneo ya kuingilia wageni pamoja na kufanywa kwa operesheni mbalimbali.
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Uhalifu wa Amboni Tanga unatufunza nini?
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Kitunda, polisi kupambana na uhalifu
KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Kitunda Gold Mining, iliyopo Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, imeahidi kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na vitendo vya kihalifu kwenye msitu wa Kitunda...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Uhalifu wa kimtandao waitesa Polisi
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Polisi kutumia “Whatsapp†kudhibiti uhalifu
Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha (ACP) Edward Balele akifungua kikao kati ya Jeshi hilo na Taasisi za ulinzi kujadili mustakabali wa usalama ndani ya mkoa huu. Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa Bwalo la Polisi Jijini hapa (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha).
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya KK kanda ya Kaskazini Claude Herssens akichangia mada katika kikao kilichoandaliwa na Jeshi la Polisi Mkoani hapa na kuziusisha taasisi mbalimbali za ulinzi...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Polisi kukabili uhalifu mwaka mpya
JESHI la Polisi limesema katika siku ya Sikukuu ya Mwaka mpya imejipanga katika mikoa yote nchini kuhakikisha vitendo vyote vya uhalifu vinadhibitiwa.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Polisi yajivunia kupungua uhalifu Rukwa
MATUKIO ya mauaji ya kikatili yanayosababishwa na imani za kishirikina mkoani Rukwa yamepungua hadi kufikia matukio 30 kwa kipindi cha mwaka jana ukilinganisha na matukio 37 yaliyoripotiwa mwaka 2012. Kwa...
5 years ago
MichuziPolisi Mpwapwa Wapongezwa Uhalifu kupungua
Na Mwandishi Wetu, Mpwapwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameupongeza...