“ Uhalifu wa kimtandao unaendelea kudhibitiwa”
SERIKALI imesema itaendelea kusimamia na kuhakikisha inawalinda wananchi wake kutokana na mashambulio na uhalifu wa kimtandao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Uhalifu wa kimtandao waitesa Polisi
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Teknolojia na uhalifu Wizi wa kimtandao unavyoshamiri duniani
5 years ago
Ykileo![](https://3.bp.blogspot.com/-neqnnTtxRf8/WpqVYl5eMjI/AAAAAAAACLk/art_jaRhjucjz1nL_gyZYItAQElci4c1gCLcBGAs/s72-c/1231.jpg)
URUSI YAKANA KUISHAMBULIA KIMTANDAO UJERUMANI
![](https://3.bp.blogspot.com/-neqnnTtxRf8/WpqVYl5eMjI/AAAAAAAACLk/art_jaRhjucjz1nL_gyZYItAQElci4c1gCLcBGAs/s640/1231.jpg)
KWA UFUPI: Mifumo ya kimtandao katika baadhi ya wizara za serikali ya Ujerumani ilikumbwa na udukuzi uliopelekea kuibiwa kwa taarifa kadhaa huku baadhi ya vyombo vya habari vimeishutumu Urusi dhidi ya shambulizi hilo la kimtandao. Nae waziri wa Ujerumani wa maswala ya uchumi akieleza hawana uhakika kua Urusi imehusika na shambulizi hilo. Aidha, Urusi imekana kuhusika na shambulizi hilo.------------------------------------------
Mataifa makubwa yenye uwezo wa kimtandao yamekua yakishutumiana...
10 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-a6bTCr2RHLc/VMJ1u0Iw4BI/AAAAAAAABII/9kGoGXHL7OE/s72-c/1.jpg)
BAKI SALAMA KIMTANDAO UTUMIAPO SIMU ZA MKONONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-a6bTCr2RHLc/VMJ1u0Iw4BI/AAAAAAAABII/9kGoGXHL7OE/s1600/1.jpg)
Nianze kuangazia uhalifu unaoweza kusababishwa na simu za mkononi.
Swapping:Huu ni uhalifu mtandao unao kua kwa kasi hivi sasa maeneo mbali mbali unaotoa fursa kwa mhalifu mtandao kuwa na matumizi ya simu ya mtu bila ya...
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-AdV2SCvRmU4/VUG1ICj8X6I/AAAAAAAABaU/-mG0386Uhto/s72-c/1.jpg)
KATIKA KUELEKEA KUAPATA TAIFA SALAMA KIMTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-AdV2SCvRmU4/VUG1ICj8X6I/AAAAAAAABaU/-mG0386Uhto/s1600/1.jpg)
Baada ya hayo nilipata kuhudhuria mikutano kadhaa...
10 years ago
VijimamboMGOMO WA MABASI BADO UNAENDELEA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xRgQOQaIj5c/VeL0R2lpGcI/AAAAAAAAjzc/sWhpXmaPkHk/s72-c/1.jpg)
MAMBO 10 MUHIMU ILI SHERIA YA MAKOSA YA KIMTANDAO YASIKUKAMATE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-xRgQOQaIj5c/VeL0R2lpGcI/AAAAAAAAjzc/sWhpXmaPkHk/s1600/1.jpg)
2. Epuka Kusambaza au kutunga ujumbe unaoleta uchochezi wa kidini unaoweza kupelekea kuvuruga amani na maelewano kwa jamii kupitia mitandao
3. Epuka Kusambaza picha ama video za utupu ama zilizokosa maadili kwa jamii kupitia mitandao mbalimbali ( Whatsapp, Facebook, YouTube, Instagram n.k)
4. Epuka...
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uchaguzi mkuu unaendelea Burkina Faso
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Maoni ya mdau Auncle Fafi kuhusu Muswada wa makosa ya kimtandao 2015
Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia inajiandaa kupeleka bungeni muswada wa sheria ya makosa ya mtandao 2015 ambayo unaweza kuisoma kwa kubofya hapa. Kama zilivyo sheria nyingi kabla ya kupitishwa wabunge hupewa nafasi ya kuijadili na kufanya marekebisho pale penye mapungufu. Baada ya kuipitia haraka haraka nimegundua baadhi ya vitu ambavyo naamini havijakaa sawa na nimejaribu kuelezea kwa chini yake. Ni matumaini yangu wabunge wetu wataipitia vizuri zaidi na kugundua mengi ambayo...