Maoni ya mdau Auncle Fafi kuhusu Muswada wa makosa ya kimtandao 2015
Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia inajiandaa kupeleka bungeni muswada wa sheria ya makosa ya mtandao 2015 ambayo unaweza kuisoma kwa kubofya hapa. Kama zilivyo sheria nyingi kabla ya kupitishwa wabunge hupewa nafasi ya kuijadili na kufanya marekebisho pale penye mapungufu. Baada ya kuipitia haraka haraka nimegundua baadhi ya vitu ambavyo naamini havijakaa sawa na nimejaribu kuelezea kwa chini yake. Ni matumaini yangu wabunge wetu wataipitia vizuri zaidi na kugundua mengi ambayo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UT7S8PB7RnY/VZLgiU0KfiI/AAAAAAAHl-c/dBCGQM1l9m8/s72-c/silinde-june7-2013.jpg)
MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA MASOKO YA BIDHAA YA MWAKA 2015 (COMMODITY EXCHANGE ACT,2015)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UT7S8PB7RnY/VZLgiU0KfiI/AAAAAAAHl-c/dBCGQM1l9m8/s640/silinde-june7-2013.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s72-c/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA BENKI YA POSTA TANZANIA (KUFUTA NA KUWEKA MASHARTI YA MPITO), 2015 (THE TANZANIA POSTAL BANK {REPEAL AND TRANSITIONAL PROVISION} ACT, 2015)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s640/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
10 years ago
Bongo509 Apr
Je! unaujua muswada wa makosa ya mtandaoni 2015?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD56Xe3wYMKfGRnUjdBiInEpZ8TFRxid6ur1bbbTdtAHF5EwTkPdLX1gET97KUwmnuaXnlBHBdj6Jk3U4j-61nIT/Kikwete.jpg)
MH. RAIS ASIPITISHE MUSWADA WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAONI, 2015
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Tamko la TBN kumuomba Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete asipitishe Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandaoni, 2015
Tamko la Bloggers Tanzania.pdf by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xRgQOQaIj5c/VeL0R2lpGcI/AAAAAAAAjzc/sWhpXmaPkHk/s72-c/1.jpg)
MAMBO 10 MUHIMU ILI SHERIA YA MAKOSA YA KIMTANDAO YASIKUKAMATE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-xRgQOQaIj5c/VeL0R2lpGcI/AAAAAAAAjzc/sWhpXmaPkHk/s1600/1.jpg)
2. Epuka Kusambaza au kutunga ujumbe unaoleta uchochezi wa kidini unaoweza kupelekea kuvuruga amani na maelewano kwa jamii kupitia mitandao
3. Epuka Kusambaza picha ama video za utupu ama zilizokosa maadili kwa jamii kupitia mitandao mbalimbali ( Whatsapp, Facebook, YouTube, Instagram n.k)
4. Epuka...
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wataka Tanzania kuhakikisha inaheshimu utawala bora suala sheria ya makosa ya Kimtandao
Joint Statement on Human Rights Infringements-LHRC_FIN_SWH.pdf
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MAPAUKQXw-0/VR-5aJfpFsI/AAAAAAAHPSg/oGWRYU12Bxs/s72-c/Sikika.jpg)
Taarifa kutoka Sikika kuhusu upotoshaji wa mswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAPAUKQXw-0/VR-5aJfpFsI/AAAAAAAHPSg/oGWRYU12Bxs/s1600/Sikika.jpg)
Sikika haikuhudhuria mkutano wa wadau unaodaiwa kufanyika Dodoma kama ilivyodaiwa na Mh Peter Serukamba na leo maafisa wa TCRA.
Sikika haikutoa maoni kuhusu Mswada wa miamala ya kielektoniki kama ilivyodaiwa na Mh Peter Serukamba na pia leo maafisa wa TCRA.
Sikika ilituma maoni ya pamoja ya wadau kwa niaba ya wadau kuhusu #CyberCrimeBill kwa njia ya email...