Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kendelea kuishambulia Iraq

Marekani imeendeleza mashambulizi ya anga kaskazini mwa Iraq kwa lengo la kuwasaidia Wakrud katika mji wa Erbil dhidi ya wapiganaji wa kiislam wa kundi Jihad.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawashambulia wapiganaji Iraq

Marekani imesema kuwa mashambulizi ya ndege zake zisizo na rubani yameharibu magari mawili ya wapiganaji nchini Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq

Ndege za kijeshi kutoka Marekani zimetekeleza mashambulizi tisa ya angani dhidi ya wanamgambo wa Islamic State kazkazini mwa Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq

Marekani imesema kuwa imetekeleza mashambulizi zaidi kazkazini mwa Iraq dhidi ya maeneo yanayodhibitiwa na wapiganaji wa Jihad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iraq:Marekani yawashambulia wanamgambo

Wizara ya ulinzi nchini Marekani imesema kuwa inaendelea kuwashambulia wanamgambo wa taifa la kiislamu kazkazini mwa Iraq.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yalipongeza jeshi la Iraq.

Marekani imelipongeza jeshi la Iraq kwa kuweza kuurejesha mji wa Ramadi uliokuwa ukishikiliwa na wapiganaji wa Islamic State.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashinikiza amani Iraq

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry amewasili Iraq na kulitahadharisha raifa hilo dhidi ya vita

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq:Marekani yawashambulia wana Jihad

Marekani yatekeleza mashambulizi ya angani dhidi ya wapiganaji wa Islamic State karibu na bwawa la Hadatha magharibi mwa Iraq.

 

11 years ago

BBCSwahili

Njooni mtusaidie - Iraq kwa Marekani

Iraq imeomba rasmi usaidizi wa Marekani kushambulia kwa ndege wapiganaji wa kiislamu walioteka miji kadhaa nchini humo wiki hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani